Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Jibu la kitoto katika hoja ya msingi...pitia upya hoja ya bongolala hapo juu.
Pole sn! Unaejua haramu Nguruwe tu wakati pweza wala!
Bongolala hoja yake nyepesi sn na haya ndo majibu yake!
Jibu la kitoto katika hoja ya msingi...pitia upya hoja ya bongolala hapo juu.
Noma yani achatu kuna mi mtu hapo haijielewi kabisa utafikiri aliulizwa mambo ya ukristo na uislamu hiyo tunaita" water malon brain"Mtu ameuliza kuhusu waumini wa lile kanisa pale Riverside cha ajabu kuna njegele wameanza kuongelea ukristu na uislamu, mtaelimika lini nyie..!?
Sasa hapo hujaelewa nini? Alikuambia nani kwamba Kanisa likitambuliwa na papa ndio msingi wa kwenda kwenye utukufu? Tena alikuambia nani kuwa dini ndio inampeleka mtu mbinguni (kwa wale wanaamini kuwa mbingu ipo?) Jitathimini nafsi yako ujiunge uko karibu na MUNGU kwa kiasi gani kwa kutumia matendo yako ya huruma na kuacha zinaa kaka.Hujaelewa Uzi wangu,take time to read it carefully
Mpaka siku ya kiama!Mtu ameuliza kuhusu waumini wa lile kanisa pale Riverside cha ajabu kuna njegele wameanza kuongelea ukristu na uislamu, mtaelimika lini nyie..!?
mkuu umenimaliza short & clear to the point!ukristo ni roho na uislam ni mwili ndio maana mtu akijamba swala yake imeharibika kisslam ila ukristo unahitaji roho hata ukijamba sala bado ni poa tu.
Kama kuna muisilamu anayeswali katika ule msikiti unaopakana na hilo kanisa la Riverside la Fr. Nkwera, basi bila shaka atakuwa anaijua vizuri stori ya jinsi mambo yalivyomuendea kombo yule mtoto sheikh Shariff siku alipotaka kutoa muhadhara pale msikitini. Kwa ufupi hakuna kilichokubali mle msikitini na yule mtoto akaufuta mhadhara
ukikusanya masharti yote ya madhehebu ya kikristo unapata uislam(maana kuna wanaokataza pombe kabisa-walokole,kuna wanaovaa kama masista-katoliki na kuchoma ubani,kuna wanaovua viatu,kuna wasiokula kitimoto-wasabato,kuna wanaofunga na kuhiji etc)hivyo vyote kwa pamoja uislam hutekelezwa
Unachokosea ni kuwa unadhani Uislamu ni neno jipya kabisa kwasababu ya kuathirika na kiarabu... hebu katafute maana ya Islam utagundua si swala la kushabikia. Mimi hupendelea sana kusikiliza mahubiri ya kikristo kwa Kiarabu... na kama hukijui utaishia kuamini ni Kiislamu... maneno kama Asalaam Aleikhum, Alah Akbar....nk yanatumika sanaukikusanya masharti yote ya madhehebu ya kikristo unapata uislam(maana kuna wanaokataza pombe kabisa-walokole,kuna wanaovaa kama masista-katoliki na kuchoma ubani,kuna wanaovua viatu,kuna wasiokula kitimoto-wasabato,kuna wanaofunga na kuhiji etc)hivyo vyote kwa pamoja uislam hutekelezwa
ni mungu yupi huyo?Mungu anaabudiwa
katika roho na kweli hata wakisujudu watupu mola anawasikia tu !kwani
ukimwomba mungu ukiwa bafun hakusikii?
Hatareee
qn of sheba
Yes, tell me.
i like your name
are you married or single?.Thanks!!