Kanisani Pekupeku

Kanisani Pekupeku

Second Lieutenant

Senior Member
Joined
Jan 13, 2014
Posts
143
Reaction score
26
Habari za jumapili wana JF,
Naomba kujuzwa hili kanisa hapa Maeneo ya riverside,mapadri,masista na waumini kuingia Pekupeku ni version gani ya RC?Mapadri Na masista wake wanatoka mashirika gani?Roma inalitambua hili kanisa? cha kunishangaza nyimbo zao ni zile zile za RC!!


Nawasilisha ili nijuzwee
 
ukikusanya masharti yote ya madhehebu ya kikristo unapata uislam(maana kuna wanaokataza pombe kabisa-walokole,kuna wanaovaa kama masista-katoliki na kuchoma ubani,kuna wanaovua viatu,kuna wasiokula kitimoto-wasabato,kuna wanaofunga na kuhiji etc)hivyo vyote kwa pamoja uislam hutekelezwa
 
ukikusanya masharti yote ya madhehebu ya kikristo unapata uislam(maana kuna wanaokataza pombe kabisa-walokole,kuna wanaovaa kama masista-katoliki na kuchoma ubani,kuna wanaovua viatu,kuna wasiokula kitimoto-wasabato,kuna wanaofunga na kuhiji etc)hivyo vyote kwa pamoja uislam hutekelezwa

Una uhakika na unachokisema? Ktk haramu nguruwe si haramu peke Yake! Kuna wanyama wengine wengi haramu na samaki haramu kibao ambao ata Nyie mnakula!
 
Habari za jumapili wana JF,
Naomba kujuzwa hili kanisa hapa Maeneo ya riverside,mapadri,masista na waumini kuingia Pekupeku ni version gani ya RC?Mapadri Na masista wake wanatoka mashirika gani?Roma inalitambua hili kanisa? cha kunishangaza nyimbo zao ni zile zile za RC!!


Nawasilisha ili nijuzwee

Hicho ni kitu cha Fr Nkwera, yeye hahitaji kuripoti Vatican wala wapi, anaripoti moja kwa moja mbinguni...lol!😛ound:
 
hizi dini sijui ztatufksha wapi.
 
ukikusanya masharti yote ya madhehebu ya kikristo unapata uislam(maana kuna wanaokataza pombe kabisa-walokole,kuna wanaovaa kama masista-katoliki na kuchoma ubani,kuna wanaovua viatu,kuna wasiokula kitimoto-wasabato,kuna wanaofunga na kuhiji etc)hivyo vyote kwa pamoja uislam hutekelezwa

Ukristo ni roho na uislam ni mwili ndio maana mtu akijamba swala yake imeharibika kisslam ila ukristo unahitaji roho hata ukijamba sala bado ni poa tu.
 
ukikusanya masharti yote ya madhehebu ya kikristo unapata uislam(maana kuna wanaokataza pombe kabisa-walokole,kuna wanaovaa kama masista-katoliki na kuchoma ubani,kuna wanaovua viatu,kuna wasiokula kitimoto-wasabato,kuna wanaofunga na kuhiji etc)hivyo vyote kwa pamoja uislam hutekelezwa

Waislam wanakula wanyama ambao ni haramu kwa wakristo kama ngamia na samaki kama papa,pweza,ngisi,n.k
 
sina shida nao hao kabisa hata wakienda kanisani uchi! shida yangu ni wale 'wastaarab' wanaotuvizia watulipue wenzao, na kukataza intaneti, kuangalia mpira, mziki, kunyoa ndevu kwa sisi ambao hatuna hata mpango na Dini yao ya 'amani'.
 
Huyo ndo Fr. Nkwera bhana, ye anapiga maombi hadi basi, RC walicheza nae sarakasi wakamshindwa. Wakamwacha kama alivyo.
 
Waumini wanapata amani na kuamini sala na maombi yao kupokelewa wanapokua Peku
 
Mtu ameuliza kuhusu waumini wa lile kanisa pale Riverside cha ajabu kuna njegele wameanza kuongelea ukristu na uislamu, mtaelimika lini nyie..!?

Wise wise!!! bado sijapata Majibu yangu,nielimishen Ndugu zangu,sijaleta issue ya udini hapa
 
We achana na hao pekupeku we chakuangalia unauhusiano gani na mungu wako,unamfanyia anavyotaka au kaz yako kuchunguza tu din za watu?ifike sehem tutambue hizi ni nyakati za mwisho kilamtu ajichunguze yeye kwanza kabla ya mwingne.
 
We achana na hao pekupeku we chakuangalia unauhusiano gani na mungu wako,unamfanyia anavyotaka au kaz yako kuchunguza tu din za watu?ifike sehem tutambue hizi ni nyakati za mwisho kilamtu ajichunguze yeye kwanza kabla ya mwingne.
Hujaelewa Uzi wangu,take time to read it carefully
 
Mi hua nawashangaa hao waumini tu,likianzishwa la kuchapwa viboko wamo heheeee,kazi kweli na hilo kanisa halihusiani na katoliki,ndio yale madhehebu yetu,hata mm nikianzisha langu la waumini kula nyama mbichi watakuja tu!
 
Una uhakika na unachokisema? Ktk haramu nguruwe si haramu peke Yake! Kuna wanyama wengine wengi haramu na samaki haramu kibao ambao ata Nyie mnakula!

Jibu la kitoto katika hoja ya msingi...pitia upya hoja ya bongolala hapo juu.
 
Back
Top Bottom