Kanisa Tanzania ni CCM?

Kanisa Tanzania ni CCM?

Hili la Kanisa kugawiwa Ardhi si sahihi!
Ardhi wanapewa wajenge shule hospital na makanisa. Wanaisaidia serikali kutibu kusomesha na kufundisha maadili mema bila kujali imani ya mtu. Wewe ukipewa ardhi ni yako na hawara yako tu haisaidii watu wengi kanisa likipewa ardhi likijenga hospital au shule au chuo kinasaidia watu wengi ikiwemo hata watoto wa hawara au nyumba ndogo ya kike au kiume. Wakipewa wanaisaidia serikali kusaidia wananchi wake pale ambapo haiwezi Kutokana Na ufinyu wa bajeti
 
Siasa ni pale unapofanya maombi ya kuombea amani na kundi moja tu la wanasiasa!
Biblia imeagiza maombi yafanyike kwanza kwa walio kwenye utawala kama huko kwenye utawala maombi unayotakiwa kufanyiwa ni ya Kibinafsi kama unaharisha unaomba uombewe au una kipindupindu unahitaji maombi Kibinafsi lakini Ya kitawala wanaombewa Wale walioko madarakani viongozi wakuu wa nchi sio kiongozi wa katawi ka bavicha wanaombewa watawala wa nchi nzima sio vyama. Ukiomba Ya vyama hayafiki mbali ndio maana akina gwajima Na kakobe waliombea ukawa ushinde na haukushinda
 
Ardhi wanapewa wajenge shule hospital na makanisa.
Dah! Yaani kumbe nyie hata hamjui mambo yakoje. Kanisa kama taasisi hununua Ardhi wala haipewi ardhi na serikali. Halafu kutibia ni kutokana na Serikali kuongozwa na CCM ambayo huwa haiwazi kujenga Hospitali zake yenyewe badala yake hutegemea Hospitali zilizojengwa na kanisa Kitambo.
 
Wanalipa fadhila si unaona makanisa yalivyogawiwa ardhi kubwa

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
Hili la ardhi si sahihi wakati wote makanisa ama yanakodishwa au kuuziwa kihalali

Kuhusu kuegemea ki ccm, ni sahihi, kuna tatizo mahali....

Sent from my itel it1513 using JamiiForums mobile app
 
Biblia imeagiza maombi yafanyike kwanza kwa walio kwenye utawala kama huko kwenye utawala maombi unayotakiwa kufanyiwa ni ya Kibinafsi kama unaharisha unaomba uombewe au una kipindupindu unahitaji maombi Kibinafsi lakini Ya kitawala wanaombewa Wale walioko madarakani viongozi wakuu wa nchi sio kiongozi wa katawi ka bavicha wanaombewa watawala wa nchi nzima sio vyama. Ukiomba Ya vyama hayafiki mbali ndio maana akina gwajima Na kakobe waliombea ukawa ushinde na haukushinda
Vyama vya upinzani ni sehemu ya utawala, elewa hilo, wana wabunge, madiwani, mameya, viongozi wa mitaa

Sent from my itel it1513 using JamiiForums mobile app
 
Dah! Yaani kumbe nyie hata hamjui mambo yakoje. Kanisa kama taasisi hununua Ardhi wala haipewi ardhi na serikali. Halafu kutibia ni kutokana na Serikali kuongozwa na CCM ambayo huwa haiwazi kujenga Hospitali zake yenyewe badala yake hutegemea Hospitali zilizojengwa na kanisa Kitambo.
Mgawo wa TEGETA ESCROW ACCOUNT UNATOA MAJIBU KWA UZI HUU, KWANI HAKUKUWA na MPINZANI ALIYEPATA TOFAUTI NA KANISA +CCM!!
 
boss katika hao wakristo na Gwajima umemjumuisha...??
 
Vyama vya upinzani ni sehemu ya utawala, elewa hilo, wana wabunge, madiwani, mameya, viongozi wa mitaa

Sent from my itel it1513 using JamiiForums mobile app
Watawala alioongolea Paulo mtume ni walioko mamlaka za juu sio viongozi wa bawacha au bavicha. Mfano hata idd amini alitakiwa aombewe Kama head of State. Walio lower rank wanatakiwa kuombewa Kibinafsi kwa matatizo yao binafsi wanayokutana nayo iwe kwenye kazi zao za bavicha au bawacha nk lakini baada Ya wao kuwakilisha uhitaji wa kuombewa Kibinafsi
 
Vyama vya upinzani ni sehemu ya utawala, elewa hilo, wana wabunge, madiwani, mameya, viongozi wa mitaa

Sent from my itel it1513 using JamiiForums mobile app
Tunaongelea wanaongoza nchi sio lower ranks hao ni wa chini maombi yanayowahusu ni ya Kibinafsi tu
 
Tunaongelea wanaongoza nchi sio lower ranks hao ni wa chini maombi yanayowahusu ni ya Kibinafsi tu
Hapa huombewa nchi si viongozi wa nchi! Kuombea amani si kwa ajili ya viongozi bali ni kwa ajili ya nchi ya Tanzania.
 
Ndugu changamka bado tu una mawazo ya makanisa bongo....... wafaaaa
 
Unauuliza chooni pana nuka nini? Shangaa ya Kilaini na escrow

Sent from my VFD 300 using JamiiForums mobile app
 
Kama Romani katoliki sasa hivi imetekwa na ccm kupitia jumuiya za mitaani manyumba kumi ya ccm yamejipenyeza katika kila jumuiya mitaani nenda katika jumuiya uone chamoto ni michango tu kwenda mbele na mikwara kibao ooh Mara huyu hachangii tusiende kusali kwake Mara huyu akifiwa hatumchangii kwa kuwa yeye anakuja tu kusali lakini hatoi michango yaani nimefika mahali natamani kuhamia kanisa la Orthodox najua katika kanisa hilo miccm haiwezi kuja kwa kuwa misa na sala zote za kanisa la orthodox ni za lugha ya kigiriki na kingereza tu
 
Tanzania hakuna Kanisa la Kristo, kuna Kanisa la CCM. Kuna Mungu wa CCM, Kuna viongozi wa Kanisa la CCM

Sent from my HUAWEI G730-U10 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi mkuu, yaani maaskofu sasa hivi kimya wanakula bata, subiri aingie wa upande wa pili nyaraka zinaanza,wachungaji na maaskofu ni wanafiki.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Kazi ya kanisa sio siasa ni dini

Kanisa katoliki limezidi, yaani wataki wa utawala wa kikwete walikuwa wanatoa nyaraka Mbali mbali kwa kuwa hakuwa mhumini wao, lakini kwa sasa wako kimya mbali na maovu yanayo fanywa na serikali hii kwa sababu mtu flani ni mshirika wao kweli huu ni ukafili na siyo dini
 
Kitu cha kwanza kabisa kanisa linachotaka ni amani ambayo itawezesha neno/injili kuwafikia watu wengi sana, mambo mengine ni personal perceptions.

Zaidi kama kuna tatizo kanisa hufanya kazi ya maombi ya usiku na mchana.

"the highest risk should give maximum profit"
 
Hapa huombewa nchi si viongozi wa nchi! Kuombea amani si kwa ajili ya viongozi bali ni kwa ajili ya nchi ya Tanzania.
Maombi hulenga mtu sio chama mungu hatambui vyama viwe chadema au CCm ukiombea amani unaombea wasimamizi wa amani walioko madarakani kwa kuwataja kwa majina au vyeo ambao kazi yao masaa 24 ni kusimamia amani yaani unaombea amiri jeshi mkuu na wote wahusikao na kazi ya kusimamia amani wakiwemo polisi na majeshi yote ya ulinzi na usalama huhangaiki na bavicha au bawacha
 
Back
Top Bottom