DOKEZO KKKT Kimara- Korogwe mnaumiza majirani zenu kwa kutiririsha maji machafu!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Nyange

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
3,516
1,865
Nilisikia siku nyingi kwamba Kanisa la KKKT Kimara Korogwe tunaloliamini kwa mambo ya kiroho, kijamii na ustawi bora ukiacha ile ahadi ya kutuandaa kwa ajili ya ulimwengu ujao kwamba unatiririsha maji machafu (kinyesi) kwa majirani zao.

Sikuamini macho yangu nilivyo shuhudia kwa macho yangu majira ya saa tano usiku watu wamelala lkn kanisa linafanya tukio hilo!!!. Mpaka ilibidi nitulie angalau siku tatu ili nikitafakari kitendo hiki kwenye jamii kikoje?

Tuliaminishwa kwamba Usifanye matendo mabaya kwa watu wa Mungu hata ukiwa peke yako usitende dhambi, sasa kusubiri watu wamelala ukaachia kinyesi kitiririke kwenye makazi ya majirani zako tuna watoto wanachezea kwenye maeneo hayo, hata watu wazima wanapitia maeneo hayo, magari yanapita, yanapack, tunaanika mahindi juani kwa ajili ya kuandaa chakula lkn kwenye hali ile tunasalimika kweli ????.

Kanisa linaendesha shughuli zake kwa masaa mengi kiasi kwamba "kila kitu kinaachwa pale" hata hivyo lina miradi ya shule, Hospitali na miradi mingine mingi fikiria mzigo unaotoka hapo kwenda kwenye majirani nikiasi gani? kuna tabu kwenye jamii inayolizunguka Kanisa!!

Viongozi wa serikali ya mtaa walishapewa taarifa maranyingi lkn hakuna kitu kilicho badilika. Tulichogundua ni kwamba viongozi wakubwa wakitaifa mara nyingi wanakuwa pale kiasi kwamba hakuna tunachoweza kulifanya hivyo inabaki kwa msemo kwamba eidha ufe au uhame hilo eneo.

Sasa swali linakuja kwamba niutamaduni wa kitanzani kutiririsha kinyesi mtaani? Kanisa linaingia kwenye kumbukumbu za kuumiza jamii ya kitanzania? Tunafanyaje kutoka kwenye hali hii ukiacha na mambo mengine yanayofanyika ambayo nayo yanaacha majirani katika hali ya sintofahamu!!

"Tunatokaje na hali hii?".

Clip zipo za ushahidi sema app naona hairuhusu ku- appload!

 
Nilisikia siku nyingi kwamba Kanisa la KKKT Kimara Korogwe tunaloliamini kwa mambo ya kiroho, kijamii na ustawi bora ukiacha ile ahadi ya kutuandaa kwa ajili ya ulimwengu ujao kwamba unatiririsha maji machafu (kinyesi) kwa majirani zao.

Sikuamini macho yangu nilivyo shuhudia kwa macho yangu majira ya saa tano usiku watu wamelala lkn kanisa linafanya tukio hilo!!!. Mpaka ilibidi nitulie angalau siku tatu ili nikitafakari kitendo hiki kwenye jamii kikoje?

Tuliaminishwa kwamba Usifanye matendo mabaya kwa watu wa Mungu hata ukiwa peke yako usitende dhambi, sasa kusubiri watu wamelala ukaachia kinyesi kitiririke kwenye makazi ya majirani zako tuna watoto wanachezea kwenye maeneo hayo, hata watu wazima wanapitia maeneo hayo, magari yanapita, yanapack, tunaanika mahindi juani kwa ajili ya kuandaa chakula lkn kwenye hali ile tunasalimika kweli ????.

Kanisa linaendesha shughuli zake kwa masaa mengi kiasi kwamba "kila kitu kinaachwa pale" hata hivyo lina miradi ya shule, Hospitali na miradi mingine mingi fikiria mzigo unaotoka hapo kwenda kwenye majirani nikiasi gani? kuna tabu kwenye jamii inayolizunguka Kanisa!!

Viongozi wa serikali ya mtaa walishapewa taarifa maranyingi lkn hakuna kitu kilicho badilika. Tulichogundua ni kwamba viongozi wakubwa wakitaifa mara nyingi wanakuwa pale kiasi kwamba hakuna tunachoweza kulifanya hivyo inabaki kwa msemo kwamba eidha ufe au uhame hilo eneo.

Sasa swali linakuja kwamba niutamaduni wa kitanzani kutiririsha kinyesi mtaani? Kanisa linaingia kwenye kumbukumbu za kuumiza jamii ya kitanzania? Tunafanyaje kutoka kwenye hali hii ukiacha na mambo mengine yanayofanyika ambayo nayo yanaacha majirani katika hali ya sintofahamu!!

"Tunatokaje na hali hii?".

Clip zipo za ushahidi sema app naona hairuhusu ku- appload!
Huko hakuna bwanaafya kwenye ofisi ya serikali ya mtaa?
 
Nilisikia siku nyingi kwamba Kanisa la KKKT Kimara Korogwe tunaloliamini kwa mambo ya kiroho, kijamii na ustawi bora ukiacha ile ahadi ya kutuandaa kwa ajili ya ulimwengu ujao kwamba unatiririsha maji machafu (kinyesi) kwa majirani zao.

Sikuamini macho yangu nilivyo shuhudia kwa macho yangu majira ya saa tano usiku watu wamelala lkn kanisa linafanya tukio hilo!!!. Mpaka ilibidi nitulie angalau siku tatu ili nikitafakari kitendo hiki kwenye jamii kikoje?

Tuliaminishwa kwamba Usifanye matendo mabaya kwa watu wa Mungu hata ukiwa peke yako usitende dhambi, sasa kusubiri watu wamelala ukaachia kinyesi kitiririke kwenye makazi ya majirani zako tuna watoto wanachezea kwenye maeneo hayo, hata watu wazima wanapitia maeneo hayo, magari yanapita, yanapack, tunaanika mahindi juani kwa ajili ya kuandaa chakula lkn kwenye hali ile tunasalimika kweli ????.

Kanisa linaendesha shughuli zake kwa masaa mengi kiasi kwamba "kila kitu kinaachwa pale" hata hivyo lina miradi ya shule, Hospitali na miradi mingine mingi fikiria mzigo unaotoka hapo kwenda kwenye majirani nikiasi gani? kuna tabu kwenye jamii inayolizunguka Kanisa!!

Viongozi wa serikali ya mtaa walishapewa taarifa maranyingi lkn hakuna kitu kilicho badilika. Tulichogundua ni kwamba viongozi wakubwa wakitaifa mara nyingi wanakuwa pale kiasi kwamba hakuna tunachoweza kulifanya hivyo inabaki kwa msemo kwamba eidha ufe au uhame hilo eneo.

Sasa swali linakuja kwamba niutamaduni wa kitanzani kutiririsha kinyesi mtaani? Kanisa linaingia kwenye kumbukumbu za kuumiza jamii ya kitanzania? Tunafanyaje kutoka kwenye hali hii ukiacha na mambo mengine yanayofanyika ambayo nayo yanaacha majirani katika hali ya sintofahamu!!

"Tunatokaje na hali hii?".

Clip zipo za ushahidi sema app naona hairuhusu ku- appload!

Mbona hatari sana, Hii ni kweli?
Weka ushahidi wa Video. Usitumie app.
 
Mbona hatari sana, Hii ni kweli?
Weka ushahidi wa Video. Usitumie app.
Naona imenigomea hii screenshot
IMG-20231230-WA0007.jpg
 
kama unania ya kujenga fika ofisi ya kata na toa taarifa kwa afisa afya.

au nenda kaonane na uongoz wa kanisa husika na waelezee bayana bila kupepesa macho.
 
kama unania ya kujenga fika ofisi ya kata na toa taarifa kwa afisa afya.

au nenda kaonane na uongoz wa kanisa husika na waelezee bayana bila kupepesa macho.
Taarifa wanazo, tena mwanajamii mmoja alienda kakuta na mhusika akampeleka nyumbani kumwonesha maji yalivyoingia mpaka ndani ya nyumba yake, alimwambia hivi" na hapo bado hayajaingia sawasawa kwasababu miradi mikubwa inakuja yataingia sana"
 
Taarifa wanazo, tena mwanajamii mmoja alienda kakuta na mhusika akampeleka nyumbani kumwonesha maji yalivyoingia mpaka ndani ya nyumba yake, alimwambia hivi" na hapo bado hayajaingia sawasawa kwasababu miradi mikubwa inakuja yataingia sana"
Aliyetamka maneno hayo ni mtumishi wa Mungu au Mtendaji wa Mtaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Linatitisha maji kwa upande upi pale?

Maana sehemu kubwa ya eneo la kanisa na taasisi zake wapo bondeni, majirani wao wote wapo kwa juu...
 
Linatitisha maji kwa upande upi pale?

Maana sehemu kubwa ya eneo la kanisa na taasisi zake wapo bondeni, majirani wao wote wapo kwa juu...
We ukipita barabarani huwezi ona. Nikwamba hilo jenereta liko juu ya karo ya maji taka, mpira ule mgumu umezama shimoni unafyonza uchafu, mpira wa upande mwingine unayasukuma kuelekea upande wa bondeni ambapo ndo majanga yanakumba waaeneo hayo ya kusini mashariki mwa hilo eneo.
 
Taarifa wanazo, tena mwanajamii mmoja alienda kakuta na mhusika akampeleka nyumbani kumwonesha maji yalivyoingia mpaka ndani ya nyumba yake, alimwambia hivi" na hapo bado hayajaingia sawasawa kwasababu miradi mikubwa inakuja yataingia sana"
polen.
nenden kwa afisa afya kwata
 
Back
Top Bottom