Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Nilisikia siku nyingi kwamba Kanisa la KKKT Kimara Korogwe tunaloliamini kwa mambo ya kiroho, kijamii na ustawi bora ukiacha ile ahadi ya kutuandaa kwa ajili ya ulimwengu ujao kwamba unatiririsha maji machafu (kinyesi) kwa majirani zao.
Sikuamini macho yangu nilivyo shuhudia kwa macho yangu majira ya saa tano usiku watu wamelala lkn kanisa linafanya tukio hilo!!!. Mpaka ilibidi nitulie angalau siku tatu ili nikitafakari kitendo hiki kwenye jamii kikoje?
Tuliaminishwa kwamba Usifanye matendo mabaya kwa watu wa Mungu hata ukiwa peke yako usitende dhambi, sasa kusubiri watu wamelala ukaachia kinyesi kitiririke kwenye makazi ya majirani zako tuna watoto wanachezea kwenye maeneo hayo, hata watu wazima wanapitia maeneo hayo, magari yanapita, yanapack, tunaanika mahindi juani kwa ajili ya kuandaa chakula lkn kwenye hali ile tunasalimika kweli ????.
Kanisa linaendesha shughuli zake kwa masaa mengi kiasi kwamba "kila kitu kinaachwa pale" hata hivyo lina miradi ya shule, Hospitali na miradi mingine mingi fikiria mzigo unaotoka hapo kwenda kwenye majirani nikiasi gani? kuna tabu kwenye jamii inayolizunguka Kanisa!!
Viongozi wa serikali ya mtaa walishapewa taarifa maranyingi lkn hakuna kitu kilicho badilika. Tulichogundua ni kwamba viongozi wakubwa wakitaifa mara nyingi wanakuwa pale kiasi kwamba hakuna tunachoweza kulifanya hivyo inabaki kwa msemo kwamba eidha ufe au uhame hilo eneo.
Sasa swali linakuja kwamba niutamaduni wa kitanzani kutiririsha kinyesi mtaani? Kanisa linaingia kwenye kumbukumbu za kuumiza jamii ya kitanzania? Tunafanyaje kutoka kwenye hali hii ukiacha na mambo mengine yanayofanyika ambayo nayo yanaacha majirani katika hali ya sintofahamu!!
"Tunatokaje na hali hii?".
Clip zipo za ushahidi sema app naona hairuhusu ku- appload!
Sikuamini macho yangu nilivyo shuhudia kwa macho yangu majira ya saa tano usiku watu wamelala lkn kanisa linafanya tukio hilo!!!. Mpaka ilibidi nitulie angalau siku tatu ili nikitafakari kitendo hiki kwenye jamii kikoje?
Tuliaminishwa kwamba Usifanye matendo mabaya kwa watu wa Mungu hata ukiwa peke yako usitende dhambi, sasa kusubiri watu wamelala ukaachia kinyesi kitiririke kwenye makazi ya majirani zako tuna watoto wanachezea kwenye maeneo hayo, hata watu wazima wanapitia maeneo hayo, magari yanapita, yanapack, tunaanika mahindi juani kwa ajili ya kuandaa chakula lkn kwenye hali ile tunasalimika kweli ????.
Kanisa linaendesha shughuli zake kwa masaa mengi kiasi kwamba "kila kitu kinaachwa pale" hata hivyo lina miradi ya shule, Hospitali na miradi mingine mingi fikiria mzigo unaotoka hapo kwenda kwenye majirani nikiasi gani? kuna tabu kwenye jamii inayolizunguka Kanisa!!
Viongozi wa serikali ya mtaa walishapewa taarifa maranyingi lkn hakuna kitu kilicho badilika. Tulichogundua ni kwamba viongozi wakubwa wakitaifa mara nyingi wanakuwa pale kiasi kwamba hakuna tunachoweza kulifanya hivyo inabaki kwa msemo kwamba eidha ufe au uhame hilo eneo.
Sasa swali linakuja kwamba niutamaduni wa kitanzani kutiririsha kinyesi mtaani? Kanisa linaingia kwenye kumbukumbu za kuumiza jamii ya kitanzania? Tunafanyaje kutoka kwenye hali hii ukiacha na mambo mengine yanayofanyika ambayo nayo yanaacha majirani katika hali ya sintofahamu!!
"Tunatokaje na hali hii?".
Clip zipo za ushahidi sema app naona hairuhusu ku- appload!