Kanisa la matapeli, Mlima wa Matumaini

stupid people speak language of generalization! Mara wachungaji wa kilokole matapeli mara makanisa yote ya kitapeli...phew! Mtamwaga chuki zenu zote leo. Hahaaaaah! Bwana kiwi namba ndio hizo, nafikiri ni vema ukaongea nao ujue ukweli wa mambo unayoyataka. Hapa kuna watu wamekuja kumwaga sumu za chuki, wana wa ibilisi!

Wewe hapo ulipo unahitaji msaada, bahati mbaya mmekuwa mno wengi ambao mmeingia ujinga bila kufikiri. Mmekuwa kama mmekanyaga mdudu yule anayekufanya upoteze ramani. Na hao matapeli wanajua kwamba mkifumbuliwa macho mtahama, hivyo wanawaagiza kwamba mtu yeyote mwenye fikra tofauti na mafundisho yao ni ibilisi hivyo. Kwa namna hiyo hata ukiambiwa nini utaona kama unaongea na ibilisi.

Nadhani hata hao wazazi walitapeliwa nyumba waliwaona washauri wao kuwa ni ibilisi. Mwisho wa siku hawana nyumba na pesa wamekwenda kukabidhi kanisani? Na kanisa ni nini? Si ni hao matapeli ndio wanaochukua pesa wanakula na kuweka kwenye akaunti na nyie mnaona mmempa mungu pesa?
 
Ndugu Pole sana, mimi nawafahamu hawa "manabii wa uongo" waliondikwa kwenye biblia. Nitakupatia mfano wa kweli. Mke wa mjomba wangu alianza kwenda kusali huko. Akawa brainwashed akaanza kuuza mali, mshahara wake wote akawa anapeleka huko. Baada akamushauri mjomba wangu naye akasali huko. Lakini yeye akakataa matokeo yake mama akadai talaka. Wakaachana, wakagawana mali (nusu bin nusu) lakini mbaya zaidi mama akakazania nyumba waliokuwa wamejenga nayo waiuze. (Walikuwa na watoto watatu) Nyumba akiuzwa, ajabu yule mama mali yote aliyogawana na mjomba wangu akapeleka yote kanisani. Sasa hivi anaishi kwenye chumba kimoja cha kupanga. Mjomba wangu naye anaishi nyumba ya kupanga amerudi nyuma hatua 100, ametafuta tena kiwanja anaanza kujenga upya na pia anasomesha watoto pekee yake amewapiga marufuku wasiende kwa mama yao wasije wakawa brainwashed. Bahati nzuri huku Tanzania hatuna custody kama USA.

Moral of the story. Kama kweli wazazi wako wanasari huko na wameshakuwa brainwashed I swear in the name of Jesus Christ watauza kila kitu kuanzia vidani, gari hata nyumba na mwisho watabaki mafukara wa kutupwa Mark my words.

Sometimes it is better to break some eggs to make an omlette. Fanya kila lilo katika uwezo wako hata ikibidi kukosana na wazazi wako BTW itakuwa temporaly uwatoe huko, vinginevyo finally itakuwa mzigo wako na wakati huo watakuwa hawana kitu kabisa hata glass ya kunywea maji. Itabidi uwatunze wewe.

Mimi siongei SIASA naongea ukweli kulingana na experience iliyompata mjomba wangu na mke wake. Unaweza kutochukua ushauri wangu lakini utanikumbuka siku moja wakati huo itakuwa TOO LATE.

Kwa kweli nakubaliana na wewe kwa yote, ila hilo la kuwatoa huko nitakuwa gumu. mimi nimejaribu na pia nina uzoefu. tatizo ni kwamba hawa wanaojiita manabii sijui zagazaga gani wanajua wanachofanya. kuna namna mbili.

wakishamtajeti mtu wao wanaimarisha ulinzi kwake kuhakikisha wanapata habari zote kwamba nani kaja na nani kaongea naye na kamwambia nini. yaani wanamjenga yule mtapeliwa wao aone ni wao tu ndio wana ushauri wa kweli, ushauri mtakatifu, mtu mwingine yeyote ni Pepo na mawazo yake yote ni mapepo.

Kisha wanahakikisha muda mwingi anakuwa kanisani na akifika kanisani ni lazima watafute namna ya kumuona kila siku kujadili matatizo yake kwenye maisha. hapo ndip muumini anajikuta anasema kila kitu na hata kama kulikuwa na kikao cha ukoo. mara nyingine sisi kwetu wakati wa kikao cha ukoo aliwahi kualikwa huyu mchungaji mnaijeria, eti ameletwa kutuombea ili kikao kifanyike kwa busara na hekima. tulimfukuza.

la mwisho, ambalo siwezi kulitolea ushahidi, wanakuwa na mafuta ambayo hupaka waumini wao. wanadai ni mafuta ya mizeituni sijui ni kitu gani. Ingawa hiyo inakaa kama uganga wa kienyeji, lakini kuna madai kwamba hayo mafuta ndiyo ambayo ukishapakwa hutaweza kurudi nyuma. Unafulia akili moja kwa moja.

Ushauri pengini ni kuhamisha umiliki wa mali zilizobakia kama inawezekana, au kuchukua hatua za kisheria dhidi ya hao matapeli wa kilokole
 
Pole ndgu KIWi, hiyo ni "KIWI YA MACHO" kwa wazazi wako kwa kutojua dini ya kweli. Makanisa yote ni ya kitapeli yanashirikiana na matapeli wa ndani na nje ya nchi. Mfano "DECI" nk. Msaada kwako; nielekeze kwa wazazi wako nikawafundishe juu ya dini ya kweli na mwenyeezimungu hakuzaa wala hakuzaliwa, hana mwanzo wala mwisho na anamiliki siku ya mwisho na maajabu ya mwzmungu ni huu usiku na mchana tulionao. Na si maajabu ya kichawi ya akina kakobe, mzee wa upako, kibwetere nk. Kwa msaada huo tutakunusuru wasiuze vitu zaidi.

.
Dini ya kiislamu nayo imekuwa mstari wa mbele kudhulumu nyumba za wajane na yatima kwa kisingizio kwamba marehemu aliitoa nyumba ama kiwanja wakfu kwa msikiti.
.
 
Wewe hapo ulipo unahitaji msaada, bahati mbaya mmekuwa mno wengi ambao mmeingia ujinga bila kufikiri. Mmekuwa kama mmekanyaga mdudu yule anayekufanya upoteze ramani. Na hao matapeli wanajua kwamba mkifumbuliwa macho mtahama, hivyo wanawaagiza kwamba mtu yeyote mwenye fikra tofauti na mafundisho yao ni ibilisi hivyo. Kwa namna hiyo hata ukiambiwa nini utaona kama unaongea na ibilisi.
Una pepo wewe!

Nadhani hata hao wazazi walitapeliwa nyumba waliwaona washauri wao kuwa ni ibilisi. Mwisho wa siku hawana nyumba na pesa wamekwenda kukabidhi kanisani? Na kanisa ni nini? Si ni hao matapeli ndio wanaochukua pesa wanakula na kuweka kwenye akaunti na nyie mnaona mmempa mungu pesa?
Nadhani...nadhani...halafu unakuja na conclusion! Una pepo wewe si bure! Huna details zozote kuwa hao watu ni matapeli, kuna member anayesali huko kasema hawana mtoto na OP amesema alipewa mtoto, bado tu huelewi. Namba zimetolewa awasiliane nao, hata hajafanya hivyo tayari ushawaita matapeli! Una pepo la chuki wewe, tena mwana wa ibilisi!

Kaa hivyo hivyo na chuki yako...:A S-alert1:
 
Wanajamvi,

Nawashukuru sana wote mliochangia kunipa mawazo mazuri kuhusu suala hili. Nimeyapokea mawazo yenu kwa mikono miwili na nimeshaanza kuyafanyia kazi. Ninaamini kuwa kwa nguvu mpya niliyoipata kutokana na ushauri wenu nitaweza kufanikiwa. Ninajua kuwa bado nina kazi kubwa sana, inayohitaji uvumilivu na subira, kwa kuwa hapa tunagusa hisia za watu muhimu sana kwangu, yaani wazazi. Lakini wazazi umri umeshakwenda, inabidi niwachukulie tena kama ambavyo ninawachukulia watoto wangu. Wazazi hawa ni jukumu langu, siwezi kuwaacha, na ninawapenda. Lakini wameingia mahali pabaya, na ni lazima niwaondoe hapo walipo wao wenyewe, na kunusuru mali zao hususan nyumba, maana kuna vingi ambavyo vimeishakwenda huko, sitaweza kuvipata (mfano pesa n.k). Kama wengi mlivyosema ni kweli, mzigo wa kuwatunza wazee ni wangu. Wasipokuwa na mahali pa kuishi itakuwa fedheha sio kwao tu, bali kwa familia nzima ikiwa ni pamoja na vizazi vijavyo.
Mungu Awabariki sana wote!
 
pole ila you have to do something haraka kabla hawajaharibikiwa,wazazi wako wameshaingia mikononi mwa hao matapeli.
 
Wanajamvi,

Nawashukuru sana wote mliochangia kunipa mawazo mazuri kuhusu suala hili. Nimeyapokea mawazo yenu kwa mikono miwili na nimeshaanza kuyafanyia kazi. Ninaamini kuwa kwa nguvu mpya niliyoipata kutokana na ushauri wenu nitaweza kufanikiwa. Ninajua kuwa bado nina kazi kubwa sana, inayohitaji uvumilivu na subira, kwa kuwa hapa tunagusa hisia za watu muhimu sana kwangu, yaani wazazi. Lakini wazazi umri umeshakwenda, inabidi niwachukulie tena kama ambavyo ninawachukulia watoto wangu. Wazazi hawa ni jukumu langu, siwezi kuwaacha, na ninawapenda. Lakini wameingia mahali pabaya, na ni lazima niwaondoe hapo walipo wao wenyewe, na kunusuru mali zao hususan nyumba, maana kuna vingi ambavyo vimeishakwenda huko, sitaweza kuvipata (mfano pesa n.k). Kama wengi mlivyosema ni kweli, mzigo wa kuwatunza wazee ni wangu. Wasipokuwa na mahali pa kuishi itakuwa fedheha sio kwao tu, bali kwa familia nzima ikiwa ni pamoja na vizazi vijavyo.
Mungu Awabariki sana wote!

Nakutakia kila la heri. Naomba uwe makini kwani kwa kawaida matapeli huwa wako very clever. Pia mtu yeyote mwenye mawazo tofauti na wao huyo mtu ana pepo, ni ibilisi. Kwa hiyo pia uvumilie pale waumini wao watakapokuwa wanakuambia una mapepo. Uzuri ni kwamba huwa hawana tusi lingine, kwa hiyo ukiweza kulivumilia hilo utafanikiwa mission yako.
 
Wanajamvi,

Nawashukuru sana wote mliochangia kunipa mawazo mazuri kuhusu suala hili. Nimeyapokea mawazo yenu kwa mikono miwili na nimeshaanza kuyafanyia kazi. Ninaamini kuwa kwa nguvu mpya niliyoipata kutokana na ushauri wenu nitaweza kufanikiwa. Ninajua kuwa bado nina kazi kubwa sana, inayohitaji uvumilivu na subira, kwa kuwa hapa tunagusa hisia za watu muhimu sana kwangu, yaani wazazi. Lakini wazazi umri umeshakwenda, inabidi niwachukulie tena kama ambavyo ninawachukulia watoto wangu. Wazazi hawa ni jukumu langu, siwezi kuwaacha, na ninawapenda. Lakini wameingia mahali pabaya, na ni lazima niwaondoe hapo walipo wao wenyewe, na kunusuru mali zao hususan nyumba, maana kuna vingi ambavyo vimeishakwenda huko, sitaweza kuvipata (mfano pesa n.k). Kama wengi mlivyosema ni kweli, mzigo wa kuwatunza wazee ni wangu. Wasipokuwa na mahali pa kuishi itakuwa fedheha sio kwao tu, bali kwa familia nzima ikiwa ni pamoja na vizazi vijavyo.
Mungu Awabariki sana wote!

Niliwahi kutoa namba za simu za hawa watumishi, sijui kama ulifanikiwa kuwataafuta. Huwa wanapatikana pia kila Alhamisi Kuanzia saa nne asubuhi hadi saa nane pale Ghorofa ya Kwanza, Haidery Plaza, Posta Mpya karibu na Oryx Petrol Station. Huwa kunakuwa na lunch hour fellowship ambayo wanaiongoza wao. Ninafanya hivi kwa sababu mimi namfahamu huyu mama na nina hakika hawezi kufanya huo utapeli kama wengi wanavyofikiri. Ni matumaini yangu kuwa utautafuta Ukweli na matokeo ya uchunguzi wako utayaleta jamvini pia.
 
Niliwahi kutoa namba za simu za hawa watumishi, sijui kama ulifanikiwa kuwataafuta. Huwa wanapatikana pia kila Alhamisi Kuanzia saa nne asubuhi hadi saa nane pale Ghorofa ya Kwanza, Haidery Plaza, Posta Mpya karibu na Oryx Petrol Station. Huwa kunakuwa na lunch hour fellowship ambayo wanaiongoza wao. Ninafanya hivi kwa sababu mimi namfahamu huyu mama na nina hakika hawezi kufanya huo utapeli kama wengi wanavyofikiri. Ni matumaini yangu kuwa utautafuta Ukweli na matokeo ya uchunguzi wako utayaleta jamvini pia.
Hizo sehemu posh na 'lunch hour fellowships'?:twitch: Nimeambiwa pia wanafanya maombi kwenye beach hotels kama huko Kigamboni etc etc. Pesa iinazotumika ni sadaka za waumini wao au zipi? What posh lifestyles?
 
let is refrain from attacking servants of god in the name of generalization. I have been long in faith and i know a lot of genuine servants of god as well as many fake ones.

The real problem here is not fake servants who are actually kings and not servants. The bible speaks clearly of them in 2timothy and somewher it says their god is their belly. So they will come and be here until jesus comes

i repeat the problem is not them, for they must come. The problem is people who do't want to read their bible and understand the times we live in. If you ignore a warning be sure the catastrophe will hit you. Instead of shouting and generalizing, read your bible, discern them and avoid them, period!

so what is your point?
 
Pdidy,bwana azidi kukufungua na uweze kuwa unatoa maneno yenye busara,mimi binafsi nahitaji kuwasiliana nawewe kusudu uweze kunipatia neno au mistari nitakayo simama nayo kwenye maisha yangu,nitakutumia kupitia barua pepe kama ulivyo muelekeza mtoa mada, bwana akuongoze na kukulinda katika njia zako zote.
 
so what is your point?
Let the truth prevail. Mwacheni aongee nao na tupate hakika na siyo kumwita mtu tapeli eti kwa sababu hukubaliani na imani yake. Ukisoma wengi wameandika kwa chuki na si kufuata ukweli.

Kama mtu ni tapeli sina neno, maana hata Biblia iko wazi watakuwepo. Ninachokataa ni kumwita mtu tapeli kwa info zisizojitosheleza kama hizi na kufikia hatua ya kuwaita wapentekoste na kisha wakristo wote matapeli! Hii ni Chuki na haina msaada wowote kw mpendwa huyu! :A S-alert1:
 
suala la haya makanisa, utaona mtu kuna code fulani wanabreak( lugha za computer prog) akishapata huo uwezo wa kutoa utabiri kama waganga wa kienyeji anawapanga foleni na anakuwa ana kipindi kwa ajiri ya kuwaeleza matatizo yao waumini wote( kusoma nyota zao, kama wamelogwa na matamshi kama mungu amenituma hivi...etc) basi hapo ndo waumini wanapata amani.
 
Back
Top Bottom