Kanisa la Kunduchi-Salasala laungua kwa radi

Status
Not open for further replies.
Je, kutokea kwa ajali maana yake kuwa Mungu ndo analiadhib hilo kanisa kwa kuwa ni la uongo au wanatenda dhambi?
Kwanini asinge piga radi kwenye club mbalili na kumbi za starehe, au mahala ambapo wanafanya usufska?

je, hata Ayubu alivyo patwa na yale matattizo yake alikuwa anapewa adhabu na Mungu?
unaeza vip kuvaa viatu vya Mungu na kutoa kuconclusion katika jambo lililo tokea?
Tena usikute mchungaji au waumin wa kanisa hilo ni watu wa Mungu na Mungu ameruhusu majaribu?
Soma biblia mkuu, uone walio yapitiaa

egentle, Mungu gani munayemhubiri kwenye makanisa yenu. Mumejaa uasherati, unyang'anyi na dhuluma kwa wajane na wasiojiweza. Wachungaji wenu wanajifunza Nigeria namna ya kutumia nguvu za giza kuwapata, kuwapumbaza na kuwaibia. Ni Mungu kasema mubadili muonekano wa Biblia kama walivyofanya pale Pool of Siloam na wakabadili na siku ya ibada toka Jumapili kwenda Jumanne. Ni Mungu gani munayemwabudu ambaye anaruhusu Gwajima afanye uasherati na mke wa Emmanuel Mbasha. Ni Mungu gani ambaye anapenda sadaka tu za watu wenye uwezo wanaotoa malaki na mamilioni kama inavyofanyika pale Efattha, Mama Lwakatare na pale kwa Lusekelo. Ni utapeli mtupu munafanyiwa. Bado kidogo tu mutachomwa moto kama Kibwetere alivyowafanya waganda
 
Ni kanisa la abandant life christian fellowship ndo limeungua. Lilikuwa makuti style. Radi imepiga likaitika. Poleni mlioathirika. Binafsi nilipita nikaona linateketea.
 
egentle, Mungu gani munayemhubiri kwenye makanisa yenu. Mumejaa uasherati, unyang'anyi na dhuluma kwa wajane na wasiojiweza. Wachungaji wenu wanajifunza Nigeria namna ya kutumia nguvu za giza kuwapata, kuwapumbaza na kuwaibia. Ni Mungu kasema mubadili muonekano wa Biblia kama walivyofanya pale Pool of Siloam na wakabadili na siku ya ibada toka Jumapili kwenda Jumanne. Ni Mungu gani munayemwabudu ambaye anaruhusu Gwajima afanye uasherati na mke wa Emmanuel Mbasha. Ni Mungu gani ambaye anapenda sadaka tu za watu wenye uwezo wanaotoa malaki na mamilioni kama inavyofanyika pale Efattha, Mama Lwakatare na pale kwa Lusekelo. Ni utapeli mtupu munafanyiwa. Bado kidogo tu mutachomwa moto kama Kibwetere alivyowafanya waganda

Sikiliza kijana, kwanza tambua mimi si muumin wa hayo makanisa. Then nikujibu kama ifuatavyo.
katika kanisa letu hakun viongoz wenye kashfa ya kutembea na waumin, kubaka, ulevi na uchafu mwingine? je, hizo action za watu ni mafundisho ya kanisa? Je, hili neno lisemwalo na waumin wetu fata maneno yangu usifate matendo yangu humaanisha nini?
Mungu anaweza kupa kazi ukikengeuka njiani haimaanishi kuwa kanisa zima limepotoka . Mara ngapi vatcani kuna kesi za ubadhirifu ambapo ndio makao makuu kwetu. Achana na habari za samaki mmoja akioza wameoza wote,
tukija kwenye suala siku ya kuabudu kila watu wana reason zao kutoka uchambuzi wao wa maandiko, je wew una uhakika gani kuwa kila jambo linafanyika kanisani kwetu ni agizo la Mungu katika maandiko yake?
 
Utitiri wa Makanisa ya 'kilokole' nadhani ni maalumu katika kutimiza unabii na mfumo wa kibepari wa kuchumia tumbo...
 
Imani ziko mbili tu Roman Catholic na Islam. Ila Biblia inasema watatokea manabii wa uwongo na kuhubiri kwa jina la Mungu. Haya makanisa yanayochipuka kila siku yanamchukiza Mungu. Angalia huyo wa Salasala amejenga kanisa kwa structure ya baa tayari kuanza kuwadhulumu wakristu ambao wanafikiri kuna uponyaji. Hayo ndiyo matokeo yake Mungu wetu aliye hai si wa kumfanyia mzaha.
Hujui ulinenalo mtu wewe.Wapi imenenwa ya kuwa imani ziko mbili tu? Unajua tafsiri ya Imani kibiblia? Reference yako ni ipi katika hili?
1Corinthians 12:5 "And there are differences of ministries, but the same Lord."
 
Nisiingie sana kwenye imani lakini naona kuna jengo limeezekwa kwa bati pale pembeni lenye urefu unaolingana na hilo lililoteketea (sijui ni sawa au macho yangu tu?). Kisayansi radi ni mkondo wa umeme unaoshuka kwenye uso wa dunia na mkondo huu una uwezekano mkubwa wa kushuka kwenye kitu kirefu kuliko vyote kwenye eneo husika na chenye ncha kali (sharp angle) kwa juu kwa sababu mkondo huo huvutwa na mlundikano wa positive charges zilizopo kwenye uso wa dunia (waliosoma static electricity wanajua) na positive charges kwa kawaida hu concentrate zaidi kwenye eneo lililochongoka na kuinuka zaidi kutoka kwenye uso wa dunia. Kwa hiyo kama hayo majengo mawili (kwenye picha) yalikuwa na urefu sawa kutoka ardhini na mchongoko wa mapaa kwa juu ulikuwa sawa kulikuwa na nafasi kubwa hilo lenye bati kupigwa kabla ya hilo la nyasi,bati ni good conductor. Kama imetokea kinyume na hapo namwachia mkuu Stuxnet
 
Utitiri wa Makanisa ya 'kilokole' nadhani ni maalumu katika kutimiza unabii na mfumo wa kibepari wa kuchumia tumbo...
Ulipenda yawepo mangapi,ili ikupendeze wewe? Btw,"makanisa" unamaanisha nini? Nyingine ni ministries. Kama wewe ni Mkristo utakuwa unaelewa maana ya huduma (ministries), na kwamba zimekuwapo tangu nyakati za Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
Kama ni makashfa hayo hayakosekani,kote kote upendapo iwe Roman Catholic,Lutheran,SDA,Islam,Buddha n.k.
 
Ila hilo jina la kanisa nalo limeniacha hoi " ABUNDANT LIFE CENTRE" yaani hata neno church hakuna dah
 
@ mwendakulima. Hiyo nyumba nyingine haiko jirani sana kuna kadistance. Pia nadhani imeezekwa kwa vigae. Paa la kanisa ndo limechonga zaidi
 
Ulipenda yawepo mangapi,ili ikupendeze wewe? Btw,"makanisa" unamaanisha nini? Nyingine ni ministries. Kama wewe ni Mkristo utakuwa unaelewa maana ya huduma (ministries), na kwamba zimekuwapo tangu nyakati za Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
Kama ni makashfa hayo hayakosekani,kote kote upendapo iwe Roman Catholic,Lutheran,SDA,Islam,Buddha n.k.
Unavouliza ivo kwani yanajengwa kwa ajili ya kunipendeza mie?.Be it a ministry,be it a church ila ukweli unabaki palepale,unabii fake,uchu wa madaraka na ulafi wa sadaka ndio chanzo cha 'watumishi' wengi kufungua nyumba mpya za ibada kila siku kwa kisingizio cha kusambaza neno!!narudia kauli unabii utatimia tu,'injili itahubiriwa duniani kote!',ila pia dunia inatawaliwa na mfumo wa kibepari,viongozi wengi wa makanisa hayo ya 'kilokole',sio wote, ni wajasiriamali kama akina Mangi tu...!
 
Wewe unadhani kati ya neno "Church" na "Abundant life" lipi lenye uzito,au umuhimu wa kuwepo?

Definitely Church, hiyo "abundant life" si inaweza kuwa na maana kwenye muktadha wowote ule? Jesus left behind the church nothing else. Church is church period.
 
@ mwendakulima. Hiyo nyumba nyingine haiko jirani sana kuna kadistance. Pia nadhani imeezekwa kwa vigae. Paa la kanisa ndo limechonga zaidi


Ok,then it stood a greater chance of getting hit first! Kwa hiyo "mtume na nabii" wa nyumba hiyo ya ibada (sioni neno church kwenye hilo jengo) alitakiwa aweke kitu cha kuikamata radi yaani kama wafanyavyo kwenye minara ya simu kule juu kabisa. I think wakatoliki hufanya hii kwenye cliff
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom