Mwalimu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,581
- 1,069
Nilipita barabara ya Sam Nujoma jumamosi nikawakuta waumini wa Kakobe wamekaa nje ya kanisa hilo huku wamevaa t-shirts za njano mbele zimeandikwa "Baada ya Richmond sasa mmehamia makanisani" na nyuma zimeandikwa "Tanesco muogopeni Mungu" Naona hivi vijembe ni kwa ajili ya Serikali na Tanesco...