johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,012
- 142,046
Askofu mkuu wa Kanisa la Chanzo Halisi amesema sasa watafanya Hijja mkoani Kigoma na kwa mara ya kwanza matukio kwenye Hijja yatarushwa mubashara na Star tv na Chanzo Halisi TV
Askofu amesema awali alikuwa akienda Hijja Israel na Baadhi ya Waumini wake wamewahi kuhiji Makka Madina
Ticket za safari zinapatikana Kanisani Tegeta
Source: Star tv
Askofu amesema awali alikuwa akienda Hijja Israel na Baadhi ya Waumini wake wamewahi kuhiji Makka Madina
Ticket za safari zinapatikana Kanisani Tegeta
Source: Star tv