USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Sonodi kuu ambayo ndio kamati ya juu kabisa ya kanisa hilo duniani inamalizia mchakato wa kutohusisha Mungu na njisia yoyote ili kuleta usawa wa kijinsia, kamati hiyo inamaanisha kuwa kutumia neno la kumaanisha Mungu ni wa kiume pekee haileti ulinganifu
Hivi karibuni kanisa hilo lilitangaza kuwaombea msamaha watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kwa kutokukubaliwa humo kanisani hapo zamani ni limetangaza kuwaruhusu wapenzi wa jinsia moja kufunga ndoa kanisa japo kwa sasa wanaweza kubalikiwa tu.
BBC Swahili
USSR
Hivi karibuni kanisa hilo lilitangaza kuwaombea msamaha watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kwa kutokukubaliwa humo kanisani hapo zamani ni limetangaza kuwaruhusu wapenzi wa jinsia moja kufunga ndoa kanisa japo kwa sasa wanaweza kubalikiwa tu.
BBC Swahili
USSR