Kanisa kongwe Gaza limehifadhi Waislamu waliokimbia mabomu, limewapokea kwa upendo

Muhimu sana mjifunze nini maana ya kuishi na watu, wewe huko Canada hao hao Wakristo ndio wamekuhifadhi.
Screenshot_20231016-191557_Chrome.jpg

Hii post yako inaonyesha ni jinsi gani huna akili,palestian orthodox christian hawa bombu za israel aziwagusi kabisa sio?halafu umepata vilaza humu wanakusapoti,kuna milions of palestina christians wewe boya
 
Wengi wamehojiwa na kusema kwa walivyopokewa yaani hawajaona upendo kama huo kwa muda mrefu.
Hongereni sana Wakristo kwenye hilo kanisa, waonyesheni inawezekana kuishi na watu bila kuwachinja kwa jina Mungu, na kwamba dini inapaswa kuwa kitovu cha amani na utulivu.....
=========================


The Church of Saint Porphyrius has become a sanctuary for those displaced by Israeli bombing, across all faiths.

Orthodox Christians celebrate Christmas with divine service at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City

Orthodox Christians celebrate Christmas at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City, Gaza on January 6, 2023 [Mustafa Hassona/Anadolu Agency via Getty Images]

Gaza City – When an Israeli air raid destroyed Walaa Sobeh’s house and much of her neighbourhood, the Palestinian Muslim sought shelter in Gaza’s oldest church.

At the Church of Saint Porphyrius, she found not just sanctuary, but a feeling of belonging to “one family” — united by both the terror of bombs exploding around them and a hope that they could survive Israel’s attacks.
So she telephoned other relatives in north Gaza and asked them to make their way to the church, too. Sobeh and her family are among hundreds of Palestinians across different faiths who have found safety — at least for now — at the church.

At a time when the deadly Hamas attack on Israel on October 7 and Israel’s subsequent bombardment of Gaza have sparked a surge in Islamophobia in parts of the world, the Greek Orthodox church has emerged as an emblem of a deeper identity as Palestinians.

“We are here living the day, not sure if we can make it to the night. But what eases our pain is the humble and warm spirit of everyone around,” Sobeh said. She described receiving “enormous support from the priests and other people in the church who volunteer tirelessly around the clock to help the displaced families”.

So far, the church has escaped Israeli missiles.
“The Israeli military has bombed many places of sanctuary,” said Father Elias, a priest at Saint Porphyrius, adding that he was “not sure that Israel won’t bomb the church”, even though it provides shelter for hundreds of civilians.

Israeli bombs have hit several mosques and schools sheltering people whose homes have been blown up.

Any strike on the church “would not only be an attack on religion, which is a vile deed, but also an attack on humanity”, Father Elias said. “Our humanity calls us to offer peace and warmth to everyone in need.”

Palestinian Orthodox Christians attend the Christmas Mass at St. Porphyrius Church in Gaza City
Palestinian Orthodox Christians attend Christmas mass at the Church of Saint Porphyrius in Gaza City on January 7, 2023 [Mohammed Saber/EPA]

Wakristo tunafundishwa UPENDO kwa watu wote, sio kuwaua wasio Wakristo

Inapendeza sana

Ndugu yangu Mlolongo Mjingamimi Kikwajuni One na FaizaFoxy karibuni katika Ibada ya Kanisa la Adventist Wasabato jumamosi ijayo ndugu zangu.
 
Wakristo tunafundishwa UPENDO kwa watu wote, sio kuwaua wasio Wakristo

Inapendeza sana

Ndugu yangu Mlolongo Mjingamimi Kikwajuni One na FaizaFoxy karibuni katika Ibada ya Kanisa la Adventist Wasabato jumamosi ijayo ndugu zangu.
Wadanganye wasioijuwa bibilia:

LUKA 19:
26 Nawaambia, Kila aliye na kitu atapewa, bali yule asiye na kitu atanyang'anywa hata alicho nacho.
27 Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.
 
Wadanganye wasito ijuwa bibilia:

LUKA 19:
26 Nawaambia, Kila aliye na kitu atapewa, bali yule asiye na kitu atanyang'anywa hata alicho nacho.
27 Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.
Basi watakuwa wameiga maneno ya Quran yanayoruhusu mauaji
Screenshot_20231015_091910.jpg


Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
 
Kwanini unaweka full stop katikati ya sentensi?

Andika hata kiarabu kutoka kulia kwenda kushoto nitaelewa
Ungekuwa unajua hilo.ungesoma kwanza habari kabla ya kuja kunijibu.umejiona vile hauna akili?
Haya mwambie mleta mada wewe ni kiazi
 
Back
Top Bottom