Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,256
- 88,210
Hapana mama. Hajabakwa. Ilikuwa bingilibingili bayoyo
Hapana mama. Hajabakwa. Ilikuwa bingilibingili bayoyo
Mzigua90 saa9 usiku kweli upo nyumbani kwa mwanaume? Daaa ndio mana sipendagi msichana wangu awe na urafiki na mwanaume.. Hivi unategemea nini hata kama ingekuwa Mimi na unavutia ningetaka mzigo tu..Ilikua kwake. Niliondoka saa tisa usiku na mvua kubwa inanyesha. Likiona mpaka kesho linanichekea.
hahahah unawaza mimba, ukimwi je?
Haswaaaaa! Pamoja na mkandaUnawaza mimba tu.
[HASHTAG]#ukimwi[/HASHTAG] huogopi. Afu ukiwa unamashaka na mtu kama mtakuwa faragha jaribu kuvaa suruali tena ya jeans.