Ushauri wangu ni kwamba usilale kwa mwanamke kama wewe sio mlipa kodi. Wewe endekeza kulala kwa mwanamke wakati hausiki na kodi yake, ukipata taabu usije kusema haukuambiwa.
Kama ni kweli unampenda kwa asilimia hizo mi nashauri UMUOE kabisa. Sidhani kama utakuja kupata mwanamke ambae utampenda kiasi hicho. Kwa sisi wanaume ukisema umependa, hapo ujue ni asilimia 20 - 30, hizo 70 zinabaki kwa ajili ya michepuko ambayo hugawana 5%, 10% nk. OA huyo mkuu hautajuta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.