Halafu nyie vijana mnapokua mnaanzisha relationship,msipeleke starehe mbele,
unajifanya unajua outings na nini kesho kutwa ukiona pesa yako inalambwa unaanza ooh "wanawake wote wanajiuza"
ishi maisha unayoweza kuafford,chukua mwanamke wa class yako,
wewe tax unataka kubeba mzigo uzito sawa na fuso!!
mjini msingi pesa tuuuuuhhhh mjini msingi kiuno......
mkuu kabla hajanisema yale maneno,nlitaka kuweka ndani mzigo
Ha ha haaaa punda kanywa maji anajiona ana bahati kumbe maji nayo yalikuwa yanahitaji hata mnawa miguu tu!!!!
Kwa nini usitafuta mwanamke mtafutaji,asiye na bugdha nyingi,ukajenga maisha,uje kufurahi baadae na familia yako?
Njoo kaka nikukopeshe helaa
mjini msingi pesa tu
Si ushakula mzigo hapo,maneno ya nini Patty?
Kama umeshapiga mzigo unataka nini zaidi??
Mikato ya chumba kaka, mdogo wako kanasa kiaina!!!!
zamani kulikuwa na hadisi(tamka hivo hivo ndo itanoga)ya sungura kuiba ndizi shambani kwa mtu,akawekewa mtego wa kinyago chenye gundi kote kote,kufika akaona akibonde kwanza,piga teke kanasa,piga kibao kanasa,piga teke lingine kanasa kamalizia kichwa kabisa nacho kanasa!
unaijua?