Kaniacha licha ya kumnunulia simu ya laki sita na posho ya elfu thelathini kila wiki

Hii Hadith Yako imenikumbusha jambo lililpmkuta rafiki yangu juzi kati,
Rafiki yangu yupo Dodoma komasomo sasa nyege na tamaa zake zilipopanda akaona isiweshida akalikumbuka koloni lake la zamani lipo Dar, akampigia simu Demu akamwambia nitumie nauli akatumiwa akaja Dom.

Alivyokuja hakumpeleka ghetto akaendanae Lodge Kwa siku tatu, sasa nadhani kwenye mazungumzo Yao kuna mambo waliaidiana ikiwepo kulipiwa Kodi ya chumba chake Dar na kupewa mtaji wa kununua mpunga kahama Kwa sababu ilikuwa akitoka Dom anaelekea kahama Kwa ndugu yake akafanye hyo biashara.

Kivumbi kilianzia hyo siku ya 3 ambayo mwana sasa Pesa imekata na nyege zimekata akaona hiki kiasi kilichobaki nimpe nauli aende huko kahama, alivyomwambia suala la kupewa nauli tu Dem akagoma akamwambia hapa siondoki Hadi unipatie Laki 5 ya mtaji, jamaa akamwambia salary ikitoka nakutumia Demu akagoma akamwambia nataka Laki 5.
Jamaa akazani utani akamwambia watoke wakapanda gari Hadi standi kwa lengo la kumsafirisha, walipofika stand Dem akagoma kushuka akamwambia bila Laki 5 siondoki jama Hana Pesa, ikabidi warudi Hadi ghetto hapo ndipo alipozidi kulikologa.

Dem alipofika ghetto akamwambia we hunijui unazani Mimi ni yule wa zamani hapa sitoki Hadi Laki 5 na utaitoa tu! Jamaa akadata siku 1,2,3 hawaongeleshani himo ndani siku zinasogea jamaa akitoka anaingia pindi anarudi usikum, siku ya juma pili asubuhi wameamka jamaa anataka kutoka, Dem akamwambia hapa Leo hautoki Hadi unipe Laki 5 niondoke usinifanye bwege, akachukua kioo kulikuwa na kipande Cha kioo ndani anataka kumchoma jamaa kulupushani hapa na pale jamaa akamwambia Kwa hyo unafikili unapolazimisha nisitoke humu ndani hyo Pesa utaipataje?

Niache nitoke nikirudi nakuletea au chukua hii Laki 2 mwisho wa mwezi nitakutumia nyingine, alafu ulisema suala la Kodi ya nyumba basi nikupe hii ulipe Kodi kwanza ukifika home nakutumia hyo Laki 5, akasema Mimi nataka Laki 5 suala la Kodi mwenywe nyumba nitaongea nae atanielewa hapa nataka mtaji w Laki 5.

Sasa jama ndyo akanipigia simu hyo jumapili siku ambayo ligi ya EPL inakamisha mechi zake wakati huo mechi zipo halftime ndyo akawa ananipa hyo Hadith wakati huo mawazo yake ananiambia mechi ya Arsenal ikimalizika tu anaenda home na washikaji wanamkama n kumgunga kamba Demu wampakie kwenye gari wamzungushe mjini then wakambwage huko mapolini.
Nikicheka sana, akaniambia kaka usinicheke nimepatikana mwenzio nikamwambia umekutana jambazi sugu n hayo maamuzi Yako hayatafanikiwa, akasema kwann nikamwambia ulivyosimulia nimeona Kwa njia hyo huwezi kutoboa bali utaaibika na kujaza watu hapo ghetto Demu atapiga kelele tu.

Akaniuliza nifanyeje sasa na Leo huyu hapa sitaki alale nimemchoka atua aliyofikia ni mbaya sana. Nikamwambia hyo dawa yake mdogo sana, kunamshikaji wetu mwaka 3 ni mwanajeshi nikamwambia nenda kamchukue jamaa na washikaji wengine 2 muende pale ghetto hapo wajifanye ni askari wmekuja kumkamata Dem analeta fujo kwako Kwa tukio la asubuhi, mshikajinalifurahi sana aisee. Akarudi kumakizia mechi.

Majira ya saa nne kasoro akanipigia simu akionesha bashasha na furaha kubwa Kwa kufanikiwa kumtoa jambazi sugu kwa Ile mbinu,naambiwa jamaa walivyojitambulisha Demu alikuwa mdogo kama pilitoni na kuanzia kuomba msamaha wakamwambia wewe ebu twende kituoni kwanza ukapumzike , wakapanda kwenye gari mshikaji ana gari, hvyo wakatoka wakaenda kumzungusha mjini walivyo hapa panatosha wakamwambia sasa Kwa huruma tunakuacha hapa na hii ni nauli nenda kwenu Kwa kua Demu alikuwa analia wakamuacha na kurudi home.
Demu kamletea sintofahamu mshkaji😂 Hawa wanawake usiwaone wanatembea njiani, wamejaa ushetani wa hali ya juu. Itoshe tu kusema mwanamke ni shetani isipokuwa mama yako, mama yangu na Mh. Rais

Kabla ya kuwa naye anakuwa kondoo, ila ukishamkabidhi maisha anakuachia mabua

# Umiza Mwanamke
 
Huyo mdada alikuwa analitumia tako lake kubwa kivipi? kwa matumizi gani ya kitandani? Melki the Storyteller
😂😂Kama huna D mbili huwezi elewa hii mkuu. Kuna namna wanalirushaga wakati wa miti hadi linaleta mastimulesheni. Linakuwa kama linatengeneza mawimbi bahari hivi. Likiwa na shanga sasa😋 Unakuwa unalivuta kama farasi fulani hivi, hapo utamu ni lazima utaifonza wote i.e atakugawia wastani kwa idadi, kikubwa usivae gadi. Watu wa mikoani hamuwezi elewa hii. Na ndo maana huku Daslam watu tunagombania sana wanawake
 
Iko hivi kuna binti flani hapa kitaani kwangu nilikuwa napiga mzigo. nilimpenda kindakindaki. Moyo wangu na hisia zangu zote zililala usingizi wa fofofo kwake

Sikuwa na ubahiri kwake, Mchizi nilipagawa na uzuri wake, ana bonge la mtrako, halafu anajua kulitumia Kitandani, ni mtundu wa mapenzi kiuno kimejaa shanga za rangi mbalimbali

Nilijitahidi sana kumgharamia kila kilichokuwa ndani ya uwezo wangu kwa sababu nilimpenda. Nilimnunulia Simu ya Laki Sita. Kila wiki nilimpa Shilingi Elfu 30 kwa ajili ya kwenda Saloon

Kila mwisho wa mwezi kidume nilimwaga pesa zote za Mshahara wangu kumfanyia Shopping yeye. Nilikuwa nikimnunulia nguo, viatu na hata mawigi

Nilipenda kumuona anafurahi muda wote, hata mama yangu mzazi kijijini nilikuwa nikimchunia kumpa hela ya matumizi kwa ajili yake. Sasa kazi nimefukuzwa, Demu hanitaki tena, mbaya zaidi kazama penzini na mwana ambaye alikuwa ni Mshikaji wangu sana

Wiki ya juzi nilimtokea ghafla huyo demu uchochoroni, nikampigia magoti nikalia sana ili anihurumie anipe tena penzi lake, lakini Dah nimeambulia kipigo kutoka kwake. Kumbe Demu yupo vizuri sana kimapigano, kanipiga ngumi za kutosha usoni, kanitoa manundu usoni na kunipasua juu ya jicho langu la kushoto,

Kilichofanya niwaombe msaada, juzi kanitumia meseji kaniambia kama nataka anipe uchi wake basi nimfate nikiwa na laki mbili mkononi, kanichanganya, sina kazi naipata wapi hiyo Laki mbili?

Wana MMU tafadhalini, sisi sote ni ndugu wa baba mmoja, Maxence Melo, daima hatuangushani, naombeni msaada wenu, nichangieni hiyo hela niende nikapige mzigo, najua tukiamua jambo letu, inapatikana!

Nisaidieni wakuu, leo kwangu kesho kwenu....
Ulitushirikisha kabla ya kupanga kumfanyia yote ulomfanyia?
 
Back
Top Bottom