Kaniacha bila sababu, moyo unaniuma

Kaniacha bila sababu, moyo unaniuma

Mkuu wanawake wengi huwa wanajisahau sana wanapopendwa tena wakiwa na uhakika wa kutoachwa. Huwa wanadharau na kiburi sana si anajua huwezi kumuacha. Tena kibaya umeshaonesha udhaifu, hata akikuudhi unamsamehe.
Hapo lazima akusumbue tu. Mkuu kwa usalama wa afya yako usije kuthubutu kumuoa huyu mwanamke. Utajuta
sio mwanamke tu bali hata mwanaume. Mtatoka mbali sana, utasimama naye kumtia moyo, utakuwa naye bega kwa bega kumtia moyo ila siku atakayosimama kwa miguu yake, mwanamke wake atakuwa ameshazeeka kwa kubeba shida za mwanamume kila kukicha ivo ataamua kutafuta mwingine huku akikuacha ukilia.
 
Tena we jamaa unamoyo sana vituko vyote ivyo bado to unaomba ushauli fanya maauzi magum uyo bint ata kusumbua me nilikua nalo ilo janga nikafanya maamuzi magum akabak kujuta
 
Sasa wewe unataka nini na keshakwambia hivyo?
 
KUBALIANA NA HALI HALISI.... JIKAZE MKUU,...
Unavyolalamika sana inaonyesha mwanzoni alikutongoza afu wewe hujui kutongoza
Acha nae sio mama yako huyo...
 
We men nowadays tunajiendekeza sana, kwann unataka kuuamnsha moyo wako kuwa unampenda sana na hamna mwngne?? hebu jpe tym ndo dawa pekee ya broken heart den sku uktoka kwny hyo sayar ya huyo lady na kumuona kama wengne utajjutia kwa muda unaopoteza kugandana nae, cyo kla unaeingia nae kwny mahusiano ndy ambae utamuoa. Jfunzen kuheshm mabadlko ya tabia za watu.
 
Ningependa nione na michango ya wa dada kwenye hii thread nao wanasemaje..!!!??? Maana wanaotoa uxhauri naona asilimia kubwa ni me
 
Tafuta pesa aise mambo mengine yatajileta yenyewe kiongozi
 
wanaume wa Dar
mimi binafsi hata kama mwanamme nampendaje
akishanitamkia kuwa hanitaki tena!!

na mimi basi, nakubaliana na fact kuwa hanihitaji..
kama kulia ntalia,nitajuta lakini mwisho ntasahau maisha yatasonga!

mwanamke au mwanaume anaekupenda hawezi kutamka tuachane ,kwa sababu anahofia kukupoteza ..
lakini kama mtu anajitoa kimasomaso hahofii kukupoteza huyo hakupendi.
 
Sijafanikiwa kusoma yote kwa sababu ni ndefu ila mimi nilikuwa najua ww ni she kumbe ni dume la mbegu kbs? acha kutochoresha mwanaume haliagi kwa issue za kuachwa na demu, mimi nilijua umefukuzwa kazi!!
 
Tafuta mwanamke achana na wasichana wa miaka 21 bado wanakua hao... Utaumia bure
 
Back
Top Bottom