Alhamdulillah.How are you doing lakni?
kanipa hasira sana maana ntapambana sana kwakweli nimeumia
Tafuta pesa brazaDah kama utani hivi jana kanitext "vipi kuhusu interview ulioenda kufanya?", nikamjibu
"hapana sikufanikiwa" akanitakia usiku mwema wakati si kawaida yake asubuh kanichunia nkamtafuta kajibu text moja tu na kunipotezea sasa hapokei simu wala hajibu text naona ndio nshaachwa mimi dah umasiki huu noma sana . View attachment 1473489
Natamani hii comment iwe printed kwenye kalenda za mwaka 2021Jamii yetu inakuza kizazi cha ajabu sana cha watoto wa kike wanaojengwa na fikra kuwa mwanaume si wa kusaidiwa bali yeye anatakiwa kusaidia tu.
Na pia zinawajenga watoto wa kike kuwa mwanaume asie na mali si wa kuwa nae. Na wasijethubutu kutafuta na mwanamke hata kidogo.
Facts kawa huru now afanye yake kwa amani aachane na utopolo wa watoto wa kike..!!Badala ushukuru kwa kuepushwa na aibu,eti na wewe unaumia.
haya ngoja akuskie akwambie hajakuacha ila anaomba hela ya saloon
uone kama hujatamani bora ingekua kweli kakuacha,mshukuru godi brooo
Kabisa mkuu. Jamii inashape watu kuwa hovyo halafu baadae inaanza kushangaa hawa watu wanatokea wapi.Natamani hii comment iwe printed kwenye kalenda za mwaka 2021
maana ndio ukweli ambao tuko nao sasa na sijui nani waku.ubadilisha.