Watu wa Biharamlo itabidi atueleze kwanza barabara inayotoka Mwanza kuja B'mlo ilitakiwaijengwe kwa kiwango cha lami mpaka Biharamlo mjini ilipofika eneo la jimbo lake akachepusha na kupeleka jimboni kwake Chato na kuacha watu wa Biharamlo tukiendelea kupigwa na vumbi.
Je mtu mbinafsi na mubaguzi kiasi hiki anafaa kuwa Rais?huduma zote za kimaendeleo zinazohusu nchi si atakuwa ana zipeleka chumbani kwake na mke wake.
Balekage duhu abise magufuli nduhu guchagula limasai isambo sana.
Kuna ziwa huko simiyu? watu wa kagera,mza,mara na geita ndo wamelengwa bwana,huyu wa simiyu hajitambui
Watu wa Biharamlo itabidi atueleze kwanza barabara inayotoka Mwanza kuja B'mlo ilitakiwaijengwe kwa kiwango cha lami mpaka Biharamlo mjini ilipofika eneo la jimbo lake akachepusha na kupeleka jimboni kwake Chato na kuacha watu wa Biharamlo tukiendelea kupigwa na vumbi.
Je mtu mbinafsi na mubaguzi kiasi hiki anafaa kuwa Rais?huduma zote za kimaendeleo zinazohusu nchi si atakuwa ana zipeleka chumbani kwake na mke wake.
Hahaha ngaloo,
hatuwez mpa kura mtu kutokana na kabila lake, dini yake wala kanda yake kamwe. bali tutaangalia sera za chama chake na uwezo wake wa kusimamia ahadi hizo....
Watu wa kanda ya kaskazini mkimchagua lowasa mtakuwa mmerogwa