MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 2,076
- 3,549
maslahi ya watu ndio yaliomuondoa mzee huyu...hatusemi kua hakuna mwenye mapungufu but jamaa alikua vzr sn kimipango na Africa ingeungana kua nchi mmoja km marekani km asingeondolewa
mkuu na mimi unikumbuke next episode niko nafuatilia uzi kila comment!Shukrani sana mkuu.. Tuko pamoja!
Nimekuongeza kwenye taglist..
Naona mweny mtandao jf katema checheMkuu, hakika ni jambo la kukwaza kwa thread ndefu kuwa quoted pasipo haja ya kufanya hivyo.
Katika kupunguza changamoto hiyo, tulilazimika (kwa desktop version) kuweka namna ya kufupisha maneno yanayonukuliwa. Bado tunaangallia uwezekano wa kufanya hivyo kwenye APP yetu pia.
Hata hivyo, tunatoa wito kwa wanaoshiriki mijadala kutokunukuu uzi mrefu ili kupunguza kero hii kwa wasomaji.
Asante.

Shukrani mkuu..Ahsante kaz nzuri.
Pamoja sana mkuu..Asante Sanaa mkuu kwa historia ya huyu shujaa jemedar Gaddafi namkubali sana kwani alikuwa anawapenda sana wananchi wake
Shukrani sana mkuu.. PamojaSafi sana the bold nakukukubali sana
Hahahahah...Safi sana mkuu,inawezekana tabia ya kujiuzulu na kurudi tena madarakani,bwana yule wa CUF alijifunzia kwa Muammar.
Be here..I will be here
Shukrani sana mkuu! Tuko pamoja..We jamaa unajua ..ww ndio ulio nivuta niingie jamii forum ..big up sana kaka
[HASHTAG]#kwel[/HASHTAG] wa africa aliyeturoga daahyote aya bado wakamtenda vile
Kumbukumbu zangu zinaniambia kwamba upo kwenye list mkuu Capt TamarCapt Tamar the forgotten fan!
Wanakera sana aisee watu wa dizaini hiiKuna watu ni vichwa vigumu
Yes! Nicheki kwenye namba hii nikupe namba ya Voda 0718 096 811Unatumia,,voda utapata
Shukrani mkuu... 0718 096 811Mkuu the bold hongera sana,huwa sichoki na mabandikoyako hapa jf,plz nitag hapo kesho ukianza nnhwe ya pili na yamwisho,pia naimbi kama utakubali weka no yako hapa au pm tukupatie vocha au kahawa kidogo
Nimeweka tayari mkuu..Mkuu The bold asante, nasubiria makala kuhusiana na kifo tata cha Rais JFK
Shukrani sana mkuu! SaluteThe Bold ,
Heshima kwako mkuu,
Umenikumbusha mbali sana kuhusu OMARY AL MUKTAH, I was a little boy at that moment,
Kumbe huyu jamaa alikuwa anatokea LIBYA,
Sikufahamu kabisa aisee,
CHUKUA LIKE MKUU kama ishara ya heshima yangu kwako.