Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,748
- Thread starter
- #61
Mkuu hili suala tunaongea kila siku... Usiquote uzi wote... Huoni watu wote wanacomment tu kawaida..Tamu sana
Unasababisha usumbufu mkubwa bila sababu..
Mkuu hili suala tunaongea kila siku... Usiquote uzi wote... Huoni watu wote wanacomment tu kawaida..Tamu sana
NdindiiiHahahah.!! Tumeipenda wenyewe, chaguo letu wenyewe...
Kabisa ahsante The bold kwa kuliona hill.!Mkuu hili suala tunaongea kila siku... Usiquote uzi wote... Huoni watu wote wanacomment tu kawaida..
Unasababisha usumbufu mkubwa bila sababu..
View attachment 505150 Roho yake!
Bila shaka mkuu..Ukileta sehem ya pili uni tag mkuu the bold.
Shukrani sana mkuu.. Tuko pamoja!The bold, Safi Sana!
Nimeisoma yote hii simulizi,
Nimekupatia like yako
Kisha nikasoma comments zote za wadau,
Sasa, nabadilisha avatar yangu kutoka kwa Kim Un wa North Korea baada ya kumtimua USA;
na kuweka ya The Great Leader, the late, Col.Gaddafi. May His Soul Rest in Peace. Amina!!
Ni kiongozi ninayemkubali hadi kesho kutwa. Japo, hatunaye tena katika ulimwengu huu wa wazungu koko wanafiki sana.
Mwisho, kwa heshima na taadhima, naomba nami uni-tag kwenye uzi huu na zingine zijazo!!
Ahsante na uwe na mwendelezo mwema wa weekend!
Pamoja saba shemeji... Salute!Asante kwa makala mkuu The bold
Shukrani sana mkuu.. Tuko pamoja!
Nimekuongeza kwenye taglist..