Tuko katika kuomboleza VIFO vya watoto... ndugu... dada... na wadogo zetu waliokumbwa na ajali (R.I.P) atakuwa hajatoka CHURCH Mkuu...J/pil ndio leo boc
PoaTuko katika kuomboleza VIFO vya watoto... ndugu... dada... na wadogo zetu waliokumbwa na ajali (R.I.P) atakuwa hajatoka CHURCH Mkuu...
Tuvute subira..
.... huna la kumpa KANALI Ghaddafi ila kumuombea dua tu huko aliko MUNGU amuweke mahala pema..
Sio vibaya na kumuenzi kwa kutumia picha yake as AVATAR...
Unaboa
Kuna watu wanatia hasira sana yaniIvi mnaquote Uzi mzima ua mnawaza kutumia nn?
Mkuu, hakika ni jambo la kukwaza kwa thread ndefu kuwa quoted pasipo haja ya kufanya hivyo.Kuna watu wanatia hasira sana yani
Uongozi wa JamiiForums tusaidieni kutatua hii changamoto pls
Cc Maxence Melo