Kamwe usioe mwanamke aliyekutoa juu ya mawe

Kamwe usioe mwanamke aliyekutoa juu ya mawe

baptiste

Member
Joined
Aug 17, 2015
Posts
92
Reaction score
158
Ndugu dexter alitupa kisa chake kuwa ana mwanamke mwenye fedha, na dada huyo amempa dexter maisha mazuri, ila tatizo kwa mujibu wa dexter ni sura mbaya ya huyo dada, hivyo pamoja na kupata maisha mazuri lakini hampendi na hana furaha moyoni,akaja hapa kuomba advice

Lakini kinyume na matarajio alitukanwa sana humu, kuwa hana shukrani na kwamba aendelee na huyo huyo wa sura ya baba kisa ana hela na kampa good life, sasa nimejiuliza kwa hiyo aishi hivyo hivyo na mtu asiempenda maisha yote?

Ina maana watu walitaka akatae msaada wa huyo dada tangu mwanzo halaf aishije? Mbona nyinyi akina dada huwa hamkatai anapotokea mpenzi mwenye pesa? Utakubali hivyo hivyo halaf baadae ndio unaanza kumsumbua kwa kuanza kutembea na mwingine unaempenda

Sasa nasema hivi, kwa wanaume wote ukipata mwanamke mwenye fedha kukuzidi na bahati mbaya ukawa humpendi acha akufadhili, take her money as much as you can, manipulate her in whichever you can, build ur businesses in secrecy without her knowledge, mapenzi yake kwako ndio iwe mtaji wako mkubwa, then tafuta mrembo wa moyoni mwako ishi nae, dump the other one as far as you can

Fanya hivi kwa kuwa mwanamke mwenye kukufadhili kimaisha mkishaingia ndani ya ndoa na kupata watoto wawili watatu utanyanyasika kupita maelezo utakumbushwa ulikotoka kila ugomvi unapotokea ndani, watoto watajua ww ndie mdogo mama ndie mkubwa ndani, hata house girl atafaham pia

Mwanamke anaekuja kukutoa juu ya mawe mwache akamilishe zoezi hilo ww jijenge ukisimama dump her kajenge heshima na bibi mwingine, because the one who uplifted you will never give you that respect, it will be a matter of time before you realize it
 
Enhee umekula hela zake wee umempotezeaa mda weee Baba karma inakusubiri
 
Hivi nyie hizo simu na mb mnazitoa wapi kuja kuharisha humu, kwa ushauri tu dogo oa mwanamke anayekupenda utaishi kwa raha na amani maisha yako yote kuliko kuoa mwanamke ambaye amekupendea kitu fulani siku kikiisha utalia na kusaga meno.
 
Sikukatalii chochote katika hayo uliyosema ila na ijulikane tu kwamba kwa viumbe hawa wa kike lolote linawezekana. Ila the best thing in marriage relations kwetu sisi wanaumme ni kumpata mwanamke anaekupenda!
 
Sikukatalii chochote katika hayo uliyosema ila na ijulikane tu kwamba kwa viumbe hawa wa kike lolote linawezekana. Ila the best thing in marriage relations kwetu sisi wanaumme ni kumpata mwanamke anaekupenda!
Sure!
 
Ni mtazamo tu, ila siyo wote... Lakini ni vizuri zaidi mwanamume ndiyo umtoe mwanamke...
 
Mmh kweli penye wengi hapakosi jambo.
Hili ni wazo mbadala aiseee maana
kule kwenye ili thread ya Dexter tumemshambulia nahisi mpaka sasa mtoa mada anajuta
 
Back
Top Bottom