Kamwe usioe mwanamke aliyekutoa juu ya mawe

Kamwe usioe mwanamke aliyekutoa juu ya mawe

Siku zote katika suala la Mapenzi huwa napenda sana kufuata ile sheria na kanuni ambayo ndio hubeba ule udhati wa mapenzi.

Daima huwa natembea katika njia salama, njia ambayo hunipa amani katika Moyo na Maisha Yangu.. Njia ambayo haiwezi kukuliza wala kukuumiza bali kukufanya uhisi raha na furaha ambayo kila siku utatamani uendelee kuishi.

Katika Masuala Ya Mahusiano Ya Kimapenzi njia ni Kumpenda Yule akupendae.

Kumpenda Yule anayeumizwa na Kulizwa na Matatizo yako..

Yule aliyetayari kufanya lolote kwa sababu ya kukupa raha na furaha.

Anayekupenda, kukujali, kukulinda na kukuthamini hakika Huyo ndio mtu sahihi wa kupendwa bila Kujali sura Umbile wala U madame supatu wake.

Mapenzi ni Hisia Zinazoumiza

kwahiyo usifurahie pale unapomliza Mwenzako hasa mwanamke. Linda na Heshimu Hisia Zake kwa kuwa wao ni kama Mama Zetu
 
Ndugu dexter alitupa kisa chake kuwa ana mwanamke mwenye fedha, na dada huyo amempa dexter maisha mazuri, ila tatizo kwa mujibu wa dexter ni sura mbaya ya huyo dada, hivyo pamoja na kupata maisha mazuri lakini hampendi na hana furaha moyoni,akaja hapa kuomba advice

Lakini kinyume na matarajio alitukanwa sana humu, kuwa hana shukrani na kwamba aendelee na huyo huyo wa sura ya baba kisa ana hela na kampa good life, sasa nimejiuliza kwa hiyo aishi hivyo hivyo na mtu asiempenda maisha yote?

Ina maana watu walitaka akatae msaada wa huyo dada tangu mwanzo halaf aishije? Mbona nyinyi akina dada huwa hamkatai anapotokea mpenzi mwenye pesa? Utakubali hivyo hivyo halaf baadae ndio unaanza kumsumbua kwa kuanza kutembea na mwingine unaempenda

Sasa nasema hivi, kwa wanaume wote ukipata mwanamke mwenye fedha kukuzidi na bahati mbaya ukawa humpendi acha akufadhili, take her money as much as you can, manipulate her in whichever you can, build ur businesses in secrecy without her knowledge, mapenzi yake kwako ndio iwe mtaji wako mkubwa, then tafuta mrembo wa moyoni mwako ishi nae, dump the other one as far as you can

Fanya hivi kwa kuwa mwanamke mwenye kukufadhili kimaisha mkishaingia ndani ya ndoa na kupata watoto wawili watatu utanyanyasika kupita maelezo utakumbushwa ulikotoka kila ugomvi unapotokea ndani, watoto watajua ww ndie mdogo mama ndie mkubwa ndani, hata house girl atafaham pia

Mwanamke anaekuja kukutoa juu ya mawe mwache akamilishe zoezi hilo ww jijenge ukisimama dump her kajenge heshima na bibi mwingine, because the one who uplifted you will never give you that respect, it will be a matter of time before you realize it
umekariri maisha ndio shida yako, wanadamu hawafanani kamwe kuna watu very faithfully hawana hata huo mda wa kumnyanyasa mtu. Ni vigum kusoma tabia ya binadamu hivyo usiwafundishe watu namna ya kudeal na watu Ivan Pavlov alishindwa kusoma tabia za watu kutumia mtu hivyo hakuna njia maalum ya kuishi au formulae ata nature itakuhukumu Maana wenzetu Japanese hawana Mungu ila kutenda wema ni sheria sio hiari na hawana unafiki wa dini kama sisi
 
Kama ni wa kunyanyaswa utanyanyaswa tuu hata na uliyemtoa kileji mkaleta mjini haijalishi umemfanyia kitu gani.
 
Tatizo mnacomplicate sana maisha, hamjui mnachokitaka na msichokitaka, komaa mwanaume
 
Kuna ukweli flani katika hoja yako Mkuu, utasikia bila ya Mimi usingekuwa hapo.
 
Yani ule pesa zangu weee unizalishe afu ukaoe mwingine, hamtadumu I tell u,ntamteketeza uyo mwanamke na kuhakikisha unarudi kwangu maisha yaendelee,
Kama una akili sana tafta Mali zako Acha kupenda mteremko
Kwenye pesa na mapenzi ndo utajua tabia HALISI za watu,pipo can do anything
 
Hiyo ndiyo point.... Use her to build ur self kama na wao wanavyowatumia wanaume wenye pesa halafu wanasepa zao
 
Siku zote katika suala la Mapenzi huwa napenda sana kufuata ile sheria na kanuni ambayo ndio hubeba ule udhati wa mapenzi.

Daima huwa natembea katika njia salama, njia ambayo hunipa amani katika Moyo na Maisha Yangu.. Njia ambayo haiwezi kukuliza wala kukuumiza bali kukufanya uhisi raha na furaha ambayo kila siku utatamani uendelee kuishi.

Katika Masuala Ya Mahusiano Ya Kimapenzi njia ni Kumpenda Yule akupendae.

Kumpenda Yule anayeumizwa na Kulizwa na Matatizo yako..

Yule aliyetayari kufanya lolote kwa sababu ya kukupa raha na furaha.

Anayekupenda, kukujali, kukulinda na kukuthamini hakika Huyo ndio mtu sahihi wa kupendwa bila Kujali sura Umbile wala U madame supatu wake.

Mapenzi ni Hisia Zinazoumiza

kwahiyo usifurahie pale unapomliza Mwenzako hasa mwanamke. Linda na Heshimu Hisia Zake kwa kuwa wao ni kama Mama Zetu
Bonge la point mkuu,kula tano!
 
Defensive mecanisme. And i can say chanzo ni kujistukia.
 
Kazi sana unapokua mwili tu, nini maana ya wewe kuwa mwanaume, hamna kitu, bure kabisa kama hayo ndio mawazo ya mtu anayetakiwa kuongoza familia.
Eti atakunyanyasa, una nini wewe mpk ulelewe na kuheshimiwa juu, akitokea wa kukusitiri na kukuheshimu shukuru usitafute laana.
 
Back
Top Bottom