Siyo wote wanaoamini ujinga wa mtoa mada.basi ' usimtoe mwanaume kwenye mawe muache huko huko'
Bebi wangu wa kimachame namshukuru kila siku kwani yeye alinionyesha ujanja wa kimaisha. Mafanikio yangu asilimia kubwa ni kwa ajili yake.Tumetengana muda satsa lakini nitakuwa mwizi wa fadhila nisipomshukuru. Always in my heart.