Kamwe sitosahau wema huu aliyonifanyia Mungu

Kamwe sitosahau wema huu aliyonifanyia Mungu

Hamna Mungu hapo wala nini, coincidence ya matukio tu hyo..

Ni kawaida ya wanadamu tukizidiwa tunatafuta kisingizio cha kujificha.

Kete ziko kwa maadui, usiwaache tu afu useme Mungu atatenda. Pambana mwenyewe ushinde. Mungu huyo hawezi kukusaidia in reality, wewe ulisaidiwa na aliekupigia simu.
We ni mchawi siyo bure. Iweje shetani amjue Mungu we usimjue.
 
Huyo Mungu mbona hajioneshagi, miaka 4000+
Anamtegemea mwanadamu badala ajitetee mwenyewe.

Mungu wenu mliyemtunga nyie siyo mwema.
Mmempa sifa za hovyo mpaka akapoteza mantiki.
Subiri upatwe na matatizo hutakumbushwa habari zake
 
Biblia si kitu, ni kakitabu flani tu kaliandikwa na mjinga asiyejua hata jua linaenda wapi usiku.

Nioneshe kama kweli hiyo biblia inatuita wapumbavu..!
Sasa km watu tulionao ni km wewe ndio mtachangia nini ktkt mkataba wa DP World? Mama piga kazi nchi yetu ni wajinga wengi sana bado.
 
Subiri upatwe na matatizo hutakumbushwa habari zake
Matatzo nnakutana nayo mengi sana,
Na hata saizi ninayo.

Sasa sjui hadi nipate matatzo ya design gani tena.
Kwanini unafkiria kuwa sijawahi ama sina matatzo?
 
Sasa km watu tulionao ni km wewe ndio mtachangia nini ktkt mkataba wa DP World? Mama piga kazi nchi yetu ni wajinga wengi sana bado.
Wewe nkikuita unamawazo finyu sitokuwa nmekosea bali ntakuwa nmekupendelea tu.

Umehusianisha bandari humu wala hata hatuongelei hayo mambo.

Huelewi hata unachokiongea, unaamini usivyovijua.
Poor you
 
...Mkuu Smotor, Kwa Nini unatumia Nguvu nyingi kujaribu kutuaminisha kwamba hakuna Mungu ?

SI utuache TU na Ujinga Wetu wa Kuendelea Kuamini kwamba Kuna Mungu,
na Wewe Uendelee TU na Ujanja wako wa Kuendelea Kuamini kwamba HAKUNA Mungu ?
Tatizo liko Wapi ?
Hoja yako nmeikubali
 
Hamna Mungu hapo wala nini, coincidence ya matukio tu hyo..

Ni kawaida ya wanadamu tukizidiwa tunatafuta kisingizio cha kujificha.

Kete ziko kwa maadui, usiwaache tu afu useme Mungu atatenda. Pambana mwenyewe ushinde. Mungu huyo hawezi kukusaidia in reality, wewe ulisaidiwa na aliekupigia simu.
Unakufuru
Mungu yupo na ndiye anawezesha kila jambo kufanyika
 
Unakufuru
Mungu yupo na ndiye anawezesha kila jambo kufanyika
Mkuu,
Kumbuka habari ya Mungu na kuweezesha kila jambo ni kitu ambacho unaamini tu, imani si kweli kwa 100%.

Hiyo ni mawazo yako tu.
Na nadharia ya mungu kuwezesha kila jambo ni imeandikwa kwenye vitabu vya dini kumrelate na maisha ya mwanadamu.

Lakini hizo tungo na mungu kiujumla, si halisi.
 
Mkuu,
Kumbuka habari ya Mungu na kuweezesha kila jambo ni kitu ambacho unaamini tu, imani si kweli kwa 100%.

Hiyo ni mawazo yako tu.
Na nadharia ya mungu kuwezesha kila jambo ni imeandikwa kwenye vitabu vya dini kumrelate na maisha ya mwanadamu.

Lakini hizo tungo na mungu kiujumla, si halisi.
Hapana! Hapana kabisa kiongozi!!!

Hiyo umeitoa wapi?

Mkuu, jichunguze! Kama unaamini hivyo, ujue umedanganywa, kabisaa!!!

Imani ni halisi! Imani ni KWELI kwa asilimia mia moja. Imani si kitu cha kubezwa hata kidogo. Imani ni maisha!!! Imanini kila kitu!!!
 
Dah wewe unahitaji msaada sio kidogo, ulichokiandika hapo kina utofauti?
Huwezi elewa maana psychology yako iko katika upande mmoja.

Hv nkisema Ahead amesema Mungu hayupo.

Hapo unamasnisha kuwa wote watakaosema Mungu hayupo waitwe kina Ahead, ama ni taarifa ambayo inamuelezea kauli ya mtu aitwaye Ahead aliyoisema muda mfupi uliopita?
 
Huwezi elewa maana psychology yako iko katika upande mmoja.

Hv nkisema Ahead amesema Mungu hayupo.

Hapo unamasnisha kuwa wote watakaosema Mungu hayupo waitwe kina Ahead, ama ni taarifa ambayo inamuelezea kauli ya mtu aitwaye Ahead aliyoisema muda mfupi uliopita?
Pole
 
Huwezi elewa maana psychology yako iko katika upande mmoja.

Hv nkisema Ahead amesema Mungu hayupo.

Hapo unamasnisha kuwa wote watakaosema Mungu hayupo waitwe kina Ahead, ama ni taarifa ambayo inamuelezea kauli ya mtu aitwaye Ahead aliyoisema muda mfupi uliopita?
Roho mtakatifu akufungue akili mkuu ili upate kuyaelewa maandiko hususani Biblia.
 
Back
Top Bottom