Kwa mujibu wa chanzo changu pale TTCL bodi ya wakurugenzi imemteua bwana Kamugisha Kazaura kuwaCEO wa kampuni hiyo..kabla ya hapo alikua CTO wa kampuni hiyo.............kwa wale mnaomfahamu yeye na TTCL mnauzungumziaje uteuzi huo na kama ataweza kupambana na ushindani uliopo kwa maana ya kurudisha hadhi ya shirika hili iliyopotea kiasi cha kufanya uteuzi huu kuonekana kama propaganda..........!!
Inafurahisha kuona "vijana" wanapewa uongozi na hata kuwa groomed.
The guy was very social, of "good stock" and positioned to make some real changes if he could stand the heat, use his network effectively and do his homework.
Niliambiwa kuhusu kuandsaliwa kwa huyu mtu miaka miwili iliyopita, moja ya watu waliokuwa wanapush ni baba yake. Hongera zake na tunamtakia kila la kheri katika kupambana na changamoto hizo za biashara ya simu
.................Nadhani huyo anashikiria kwa muda baada ya management yote kusimamishwa, uteuzi anafanya raisi, bodi imepatia kukaimu tu hiyo nafasi.............
Kwa mujibu wa chanzo changu pale TTCL bodi ya wakurugenzi imemteua bwana Kamugisha Kazaura kuwaCEO wa kampuni hiyo..kabla ya hapo alikua CTO wa kampuni hiyo.............kwa wale mnaomfahamu yeye na TTCL mnauzungumziaje uteuzi huo na kama ataweza kupambana na ushindani uliopo kwa maana ya kurudisha hadhi ya shirika hili iliyopotea kiasi cha kufanya uteuzi huu kuonekana kama propaganda..........!!
Niliambiwa kuhusu kuandsaliwa kwa huyu mtu miaka miwili iliyopita, moja ya watu waliokuwa wanapush ni baba yake. Hongera zake na tunamtakia kila la kheri katika kupambana na changamoto hizo za biashara ya simu
Kamugisha Kazaura received the B.Eng. degree in Electronics and Communications Engineering from the University of Bath, UK, in 1995. He then worked as a telecoms engineer for the Tanzania Telecommunications Company Ltd. (TTCL), Dar Es Salaam, Tanzania, from 1996 to 2002. He later joined Waseda University's Graduate School of Global Information and Telecommunication Studies, Tokyo, Japan, where he received his M.Sc and PhD degrees in 2002 and 2007 respectively. He is now a full-time Visiting Lecturer at Waseda University's Advanced Research Institute for Science and Engineering (RISE). His research interests lie within the general fields of technologies for fixed and mobile high-speed wireless communication networks, free-space optical (FSO) communication systems and innovative access technologies for next generation networks. His current work involves research and development of an advanced DWDM Radio on Free-Space Optical Communication system suitable for transmission of multiple RF signals.
Kwa mujibu wa chanzo changu pale TTCL bodi ya wakurugenzi imemteua bwana Kamugisha Kazaura kuwaCEO wa kampuni hiyo..kabla ya hapo alikua CTO wa kampuni hiyo.............kwa wale mnaomfahamu yeye na TTCL mnauzungumziaje uteuzi huo na kama ataweza kupambana na ushindani uliopo kwa maana ya kurudisha hadhi ya shirika hili iliyopotea kiasi cha kufanya uteuzi huu kuonekana kama propaganda..........!!
Kamugisha Kazaura received the B.Eng. degree in Electronics and Communications Engineering from the University of Bath, UK, in 1995. He then worked as a telecoms engineer for the Tanzania Telecommunications Company Ltd. (TTCL), Dar Es Salaam, Tanzania, from 1996 to 2002. He later joined Waseda Universitys Graduate School of Global Information and Telecommunication Studies, Tokyo, Japan, where he received his M.Sc and PhD degrees in 2002 and 2007 respectively. He is now a full-time Visiting Lecturer at Waseda Universitys Advanced Research Institute for Science and Engineering (RISE). His research interests lie within the general fields of technologies for fixed and mobile high-speed wireless communication networks, free-space optical (FSO) communication systems and innovative access technologies for next generation networks. His current work involves research and development of an advanced DWDM Radio on Free-Space Optical Communication system suitable for transmission of multiple RF signals.
Hongera sana Dk.Kazaura,Changamoto ni nyingi mno;Tengeneza kikosi kazi cha kuinusuru TTCL,Saidi amiri alitaka kuiua TTCL.Kaondoka bila kuaga na kashfa kibao.Hongera sana Kamugisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.