Mkuu kampuni zipo nyingi ila wana masharti sana sijui kama mtawezana, maana wao hayo mahindi wanaupgrade yawe mbegu, sasa wao wanataka wakusimae kupanda n.n
Kwanini usipeleke mwenyewe Nchi ya jirani yako, mbona Nchi ya Kenya walishafungua biashara hiyo, nenda mwenyewe mpakani
ukishindwa wauzie Bodi ya Nafaka Arusha, Dodoma, Iringa nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.