Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Wale wa kampuni za ukaguzi al maarufu kama audit firms kama pwc, delloite, kpmg, ey mkae mkijiandaa kufa. Hii nawapa tu tahadhari
Juzi mlimsikia CAG akisema amepunguza gharama za ukaguzi kutoka kwenye makampuni binafsi yaliyokua yakikagua taasisi za serikali kubwa kama benki kuu.
Makampuni makubwa ya serikali yamekua miaka na miaka yakikaguliwa na makampuni binafsi kwa sababu ofisi ya cag haina uwezo wa kufanya ukaguzi makampuni au taasisi zote za serikali, hivyo imekua ikitumia makampuni binafsi kufanya ukaguzi ila sasa cag anataka kuondokana na utegemezi wa makampuni binafsi kwenye kufanya ukaguzi.
Serikali imeahidi kuongezea rasilimali watu na rasilimali fedha ofisi ya cag ili iweze kufanya ukaguzi yenyewe, hivyo wenye kampuni binafsi za ukaguzi lazima muanze kufikiria namna nyingine ya kuongeza kipato maana mteja wenu mkubwa serikali anawakimbia huku private sector yetu sio stable and reliable, wafanya biashara wengi hawaandai hesabu na biashara zinaendeshwa kijaja janja, makampuni binafsi imara ya kueleweka ni machache, mjiandae na huo mtikisiko.
Juzi mlimsikia CAG akisema amepunguza gharama za ukaguzi kutoka kwenye makampuni binafsi yaliyokua yakikagua taasisi za serikali kubwa kama benki kuu.
Makampuni makubwa ya serikali yamekua miaka na miaka yakikaguliwa na makampuni binafsi kwa sababu ofisi ya cag haina uwezo wa kufanya ukaguzi makampuni au taasisi zote za serikali, hivyo imekua ikitumia makampuni binafsi kufanya ukaguzi ila sasa cag anataka kuondokana na utegemezi wa makampuni binafsi kwenye kufanya ukaguzi.
Serikali imeahidi kuongezea rasilimali watu na rasilimali fedha ofisi ya cag ili iweze kufanya ukaguzi yenyewe, hivyo wenye kampuni binafsi za ukaguzi lazima muanze kufikiria namna nyingine ya kuongeza kipato maana mteja wenu mkubwa serikali anawakimbia huku private sector yetu sio stable and reliable, wafanya biashara wengi hawaandai hesabu na biashara zinaendeshwa kijaja janja, makampuni binafsi imara ya kueleweka ni machache, mjiandae na huo mtikisiko.