JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,201
Nidhamu ya pesa inarudi
inawezekan yeye hatumii mpesa au yeye huenda hajapandishiwa gharama....nchi hii ina MATUTUSA wengi sana.Yule kingunge wa TRA aliyesema kama kuna mwenye ushahidi kuwa taasisi za kifedha zinaovercharge ajitokeze sijui kama anayaona haya au naye amevaa wooded specs
Hehehe lizaboni huyo
itafikia siku mtu akilala na mke wake analipia kodi kwanza....hii nchi ni ya kipuuzi sijapata kuona. na wakati tumaumia hivi, kuna wapuuzi wengine wanacheza 'kidari poo'!huu ni wizi kwa wanyonge.na sio ukusanyajo kodi.
kila kona kodi na inamlanga mtu huyu wa chini.
Mungu tu ndo atakaetuokoa Watanzania kwakweliHivi hawa matutusa wa CCM wataendelea kututesa mpaka lini?
Watu wa nchii hii ni masikini, hawajawahi kikosa nidhamu ya pesa. Hakuna starehe ya maana wamewahi kufanya kama ilivyo nchi tajiri, hatuendi kutalii kwenye hifadhi, hatufanyi utalii wa nje ya nchi, tunaagiza second hand cars, walio wengi mlo wao ugali mboga za majani, walio wengi wanajenga nyumba kwa miaka 7,nkNidhamu ya pesa inarudi
Hata Voda nao wamefuta kifurushi cha wiki cha 2000...wanaenda sambamba na tiGO ili tukose pa kukimbilia. Nchi hii aliyeiroga kafa.Kifurushi cha Tigo cha Internet ambacho awali kilikuwa kilikuwa kinauzwa sh 5,000 kwa wiki 800MB sasa hakipo, kuna chs sh 8,000 cha 2 GB, ukienda kwenye application unakuta kifurushi kipya cha sh 8,000 tu.