Kampuni za simu zapandisha gharama maradufu

Kampuni za simu zapandisha gharama maradufu

tpaul

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
27,181
Reaction score
27,781
upload_2016-8-8_21-32-25.png

upload_2016-8-8_21-34-14.png

upload_2016-8-8_21-35-26.png

upload_2016-8-8_21-38-49.png

upload_2016-8-8_21-39-38.png

Chanzo: Nipashe
 

Attachments

  • upload_2016-8-8_21-36-25.png
    upload_2016-8-8_21-36-25.png
    20.7 KB · Views: 98
Yaani sasa hivi hata ukimpenda mtu, unakatwa kodi ya kumpenda.
 
Jamaa wamepandisha sana tarrif za miamala ya kutoa pesa. Jana kalaki kamoja nimemuuliza wakala, tukasoma chati imeandikwa kutoa laki Tsh 2750 badala ya 2500,lakini nilivyotoa wamekata 3500 kwa laki 1,yaani inauma sana
na bado....ifikapo 2020 tutakuwa tumenyooka.
 
Jamaa wamepandisha sana tarrif za miamala ya kutoa pesa. Jana kalaki kamoja nimemuuliza wakala, tukasoma chati imeandikwa kutoa laki Tsh 2750 badala ya 2500,lakini nilivyotoa wamekata 3500 kwa laki 1,yaani inauma sana

Yule kingunge wa TRA aliyesema kama kuna mwenye ushahidi kuwa taasisi za kifedha zinaovercharge ajitokeze sijui kama anayaona haya au naye amevaa wooded specs
 
Ndio kuwajali wanyonge huko, maana jamaa akitamka hilo neno jukwaani makofi na vigelegele, weweeee, eti Nyerere mpya?! thubutu rudini kwenye uhalisia ni kilio na kusaga meno. Hakika amejua kucheza na akili za wananchi sijui anahisi wengi ni product zilizotimuliwa UDOM? Ehh! kweli ni kuisoma namba.
 
Back
Top Bottom