Ipananga kulwa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 573
- 290
Kama mada twaja hapo juu,,, nmekuwa nikituma maombi ya kaz kwenya makampuni yanayojiita ya ajira kwa muda wa mize 5 mpaka sasa hakuna kazi niliowahi kuitwa
..Je ni kweli haya makampuni yanawatafutia watanzania ajira au ni mbwembe na majigambo tu...sioni umuhimu wa haya makampuni tena!
..Je ni kweli haya makampuni yanawatafutia watanzania ajira au ni mbwembe na majigambo tu...sioni umuhimu wa haya makampuni tena!