Kampuni ya tigo ni wezi sana...

Kampuni ya tigo ni wezi sana...

Niwaombe msamaha Hallotel kwa kuwatukana, kumbe kuna mabackground apps mengi yalikuwa yanarun bila kujua, siku ya 3 hii naweka kifurushi kinapitiwa na sikomi. Yaani nilikuwa nashangaa eti nabrowse JF na FB tu kwenye data interface inaonesha natumia kb zaidi ya 200 per second. Asante kwa muongozo umeniokoa!
Hakuna kitu, mbona ukichange line eg tigo ambao wana bundle ndogo kabisa zinakaaa mda mrefu sana jamaa! Hawa ni wezi kuliko
 
Tigo pesa ni zaidi ya jipu. Nilifanya muamala tar 22 mwezi wa saba kwenda mpesa, hela kwangu ilitoka na kwa mlengwa haikwenda nilipopiga huduma kwa wateja walinijibu pesa ipo kuna tatizo la kiufundi wanashughulikia hivyo nisubiri masaa 72. Yakapita nikapiga tena wakasema tena nisubiri masaa 72 ikawa hivyo kila nikipiga naambiwa hivyo hadi mwezi ukaisha wakasema kwakuwa mwezi umeisha niende tigo shop nikaenda ikawa mwendo uleule hadi leo hawajarudisha... Last week nilifanya malipo kwenda azam tv hela nayo haijafika hadi sasa wananipa kiswahili kama mwanzo tu. Hadi sasa ni zaidi 87000 wanayo sijui ndo nimeshaliwa au kuna mwaka watarudisha kama kuna aliyewahi patwa na hii hali hebu tupeane uzoefu
Pengine laini yako inatafutwa bila wewe kujua wanasubri tu! Ufike 18,kama nimwezi!!!!!! Mh kunakitu
Mkuu ukiwapigia simu huwezi kata tamaa maana hawakatai ila tatizo haliishi ni mwendo wa kukupa matumaini tu

Na huu ndo ukweli na ndicho kilichoniuma kushindwa kukamilika hata ya kwenda azamtv
 
Tigo pesa ni zaidi ya jipu. Nilifanya muamala tar 22 mwezi wa saba kwenda mpesa, hela kwangu ilitoka na kwa mlengwa haikwenda nilipopiga huduma kwa wateja walinijibu pesa ipo kuna tatizo la kiufundi wanashughulikia hivyo nisubiri masaa 72. Yakapita nikapiga tena wakasema tena nisubiri masaa 72 ikawa hivyo kila nikipiga naambiwa hivyo hadi mwezi ukaisha wakasema kwakuwa mwezi umeisha niende tigo shop nikaenda ikawa mwendo uleule hadi leo hawajarudisha... Last week nilifanya malipo kwenda azam tv hela nayo haijafika hadi sasa wananipa kiswahili kama mwanzo tu. Hadi sasa ni zaidi 87000 wanayo sijui ndo nimeshaliwa au kuna mwaka watarudisha kama kuna aliyewahi patwa na hii hali hebu tupeane uzoefu
HAPANA MSG ZAKO ZIGAKUPONYA NENDA MAKAO MAKUU ACHANA NA VIJIWAKALA VITAKUTENDA ..PALEMAKAOMAKUU NAKO WEKA SURA YA *""SITAKI UJINGA KUNA VIBINTI VIKIONASHIDAKAMA HIZI VINAJUA DILI *"" KOMAA WATAKUPA....

M BINAFSI MAJUZI NIMEPAMBANA NAOO NIKO NIMELALA USIKU NATUMIWA MSG NKAKAUSHA NIKASIKIA YAPILI NKSKAUSHA YATATU..MMH BADOKIDOGO WAHARIBU NDOA YANGU KWAKUWA N MT PDIDY WIFI YENU AKAMKA AKASOMA ASB ATI SINASALIO NIONGEZE KWAKUBONYEZA XYZ AMA NIKOPE..BAADAE IKAJA MSG NYINGINE NIMEKOPESWA 1000 JAMAN SIMU INA ALF TANO..SIJUI WAMEONA IMEISHA WAPI SALIO
 
Hamieni Halotel chuo kifurushi mondokane NA Shida za dunia
 
Hata Halloteli majizi,kila nikijiunga na kifurushi cha chuo MB 600 baada ya dakika 5 wanasema kimeisha wakati nimebrowse JF tu
kama ulikua unatania basi ujue ndo yananikuta mwenzako
sifanyi cha maana na mb zinakata
wizi mtupu
 
HAPANA MSG ZAKO ZIGAKUPONYA NENDA MAKAO MAKUU ACHANA NA VIJIWAKALA VITAKUTENDA ..PALEMAKAOMAKUU NAKO WEKA SURA YA *""SITAKI UJINGA KUNA VIBINTI VIKIONASHIDAKAMA HIZI VINAJUA DILI *"" KOMAA WATAKUPA....

M BINAFSI MAJUZI NIMEPAMBANA NAOO NIKO NIMELALA USIKU NATUMIWA MSG NKAKAUSHA NIKASIKIA YAPILI NKSKAUSHA YATATU..MMH BADOKIDOGO WAHARIBU NDOA YANGU KWAKUWA N MT PDIDY WIFI YENU AKAMKA AKASOMA ASB ATI SINASALIO NIONGEZE KWAKUBONYEZA XYZ AMA NIKOPE..BAADAE IKAJA MSG NYINGINE NIMEKOPESWA 1000 JAMAN SIMU INA ALF TANO..SIJUI WAMEONA IMEISHA WAPI SALIO
Haha umenivunja mbavu mkuu
 
Hata Halloteli majizi,kila nikijiunga na kifurushi cha chuo MB 600 baada ya dakika 5 wanasema kimeisha wakati nimebrowse JF tu
Haaaaa kumbe sio mm pekee, Wadau mi juz nmeunga MB 600 Nikachukua video moja yenye MB 180 na kusoma tuu email hata dakika haikuisha Eti kifurush kimeisha. Majiz ka nn dadek!!!.
HALLOTEL
 
Hakuna kitu, mbona ukichange line eg tigo ambao wana bundle ndogo kabisa zinakaaa mda mrefu sana jamaa! Hawa ni wezi kuliko
Inawezekana but kwangu nimefanikiwa kutatua tatizo baada ya kudissable hii kitu inaitwa svchost.exe
 
Toa njia namna ya kuidissable.

1. Kuna njia ya kwanza unafungua Control panel> the click Administrative Tools > then click Services> then rightclick Background Intelligent Transfer Service (Utaona option mbalimbali, click STOP), unakuwa umemaliza.

2. Njia ya pili, kwenye start menu ya pc yako (kama unatumia pc) itafute Resource Monitor (sina hakika kama kwenye windows nyingine ipo maana mi natumia windows 10), then nenda kwenye menu ya Network na urightclick svchost.exe (netsvcs) then bonyeza End process kama nilivyokuwekea kwenye screenshot, unakuwa umemaliza.
 

Attachments

  • shot 1.jpg
    shot 1.jpg
    65.4 KB · Views: 26
  • shot2.jpg
    shot2.jpg
    74.2 KB · Views: 30
1. Kuna njia ya kwanza unafungua Control panel> the click Administrative Tools > then click Services> then rightclick Background Intelligent Transfer Service (Utaona option mbalimbali, click STOP), unakuwa umemaliza.

2. Njia ya pili, kwenye start menu ya pc yako (kama unatumia pc) itafute Resource Monitor (sina hakika kama kwenye windows nyingine ipo maana mi natumia windows 10), then nenda kwenye menu ya Network na urightclick svchost.exe (network service), then bonyeza End process kama nilivyokuwekea kwenye screenshot, unakuwa umemaliza.
Heko mkuu...
 
Back
Top Bottom