Jodeo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 1,286
- 1,332
TCRA na taasisi zingine za serikali zinafanya kazi kwa ajiri ya wanasiasa (viongozi). Best area ni mahakamaniMkuu peleka lalamiko lako TCRA kuna dawati maalum Kwa hilo.
TCRA na taasisi zingine za serikali zinafanya kazi kwa ajiri ya wanasiasa (viongozi). Best area ni mahakamaniMkuu peleka lalamiko lako TCRA kuna dawati maalum Kwa hilo.
Hakuna kitu, mbona ukichange line eg tigo ambao wana bundle ndogo kabisa zinakaaa mda mrefu sana jamaa! Hawa ni wezi kulikoNiwaombe msamaha Hallotel kwa kuwatukana, kumbe kuna mabackground apps mengi yalikuwa yanarun bila kujua, siku ya 3 hii naweka kifurushi kinapitiwa na sikomi. Yaani nilikuwa nashangaa eti nabrowse JF na FB tu kwenye data interface inaonesha natumia kb zaidi ya 200 per second. Asante kwa muongozo umeniokoa!
Pengine laini yako inatafutwa bila wewe kujua wanasubri tu! Ufike 18,kama nimwezi!!!!!! Mh kunakituTigo pesa ni zaidi ya jipu. Nilifanya muamala tar 22 mwezi wa saba kwenda mpesa, hela kwangu ilitoka na kwa mlengwa haikwenda nilipopiga huduma kwa wateja walinijibu pesa ipo kuna tatizo la kiufundi wanashughulikia hivyo nisubiri masaa 72. Yakapita nikapiga tena wakasema tena nisubiri masaa 72 ikawa hivyo kila nikipiga naambiwa hivyo hadi mwezi ukaisha wakasema kwakuwa mwezi umeisha niende tigo shop nikaenda ikawa mwendo uleule hadi leo hawajarudisha... Last week nilifanya malipo kwenda azam tv hela nayo haijafika hadi sasa wananipa kiswahili kama mwanzo tu. Hadi sasa ni zaidi 87000 wanayo sijui ndo nimeshaliwa au kuna mwaka watarudisha kama kuna aliyewahi patwa na hii hali hebu tupeane uzoefu
Mkuu ukiwapigia simu huwezi kata tamaa maana hawakatai ila tatizo haliishi ni mwendo wa kukupa matumaini tu
Na huu ndo ukweli na ndicho kilichoniuma kushindwa kukamilika hata ya kwenda azamtv
HAPANA MSG ZAKO ZIGAKUPONYA NENDA MAKAO MAKUU ACHANA NA VIJIWAKALA VITAKUTENDA ..PALEMAKAOMAKUU NAKO WEKA SURA YA *""SITAKI UJINGA KUNA VIBINTI VIKIONASHIDAKAMA HIZI VINAJUA DILI *"" KOMAA WATAKUPA....Tigo pesa ni zaidi ya jipu. Nilifanya muamala tar 22 mwezi wa saba kwenda mpesa, hela kwangu ilitoka na kwa mlengwa haikwenda nilipopiga huduma kwa wateja walinijibu pesa ipo kuna tatizo la kiufundi wanashughulikia hivyo nisubiri masaa 72. Yakapita nikapiga tena wakasema tena nisubiri masaa 72 ikawa hivyo kila nikipiga naambiwa hivyo hadi mwezi ukaisha wakasema kwakuwa mwezi umeisha niende tigo shop nikaenda ikawa mwendo uleule hadi leo hawajarudisha... Last week nilifanya malipo kwenda azam tv hela nayo haijafika hadi sasa wananipa kiswahili kama mwanzo tu. Hadi sasa ni zaidi 87000 wanayo sijui ndo nimeshaliwa au kuna mwaka watarudisha kama kuna aliyewahi patwa na hii hali hebu tupeane uzoefu
kama ulikua unatania basi ujue ndo yananikuta mwenzakoHata Halloteli majizi,kila nikijiunga na kifurushi cha chuo MB 600 baada ya dakika 5 wanasema kimeisha wakati nimebrowse JF tu
Haah mkuu kwahiyo mungu kachukua kupitia tigopesaSwali linakuja unatoaga sadaka???
Wasije wakanunua haki...Kadai fidia mahakaman billion 1, utakua ushatoka maisha mwanangu .kama kina Mwana fa ila usisahau kunipa mil 10 ya mboga

Mkuu hawajakusikia kweli?TCRA ni jipu kuliko hiyo mitandao.
Nchi ni yetu, lakini kuna wakati nadhani inaongozwa na watu wasio na vichwa
Hofu yangu kununua haki mkuu maana vita ya mwenye nacho na asiekuwa nachoNa watamlipa za kutosha!!! Tatizo hizi fursa zinaenda pasipo na wajenzi
Haha umenivunja mbavu mkuuHAPANA MSG ZAKO ZIGAKUPONYA NENDA MAKAO MAKUU ACHANA NA VIJIWAKALA VITAKUTENDA ..PALEMAKAOMAKUU NAKO WEKA SURA YA *""SITAKI UJINGA KUNA VIBINTI VIKIONASHIDAKAMA HIZI VINAJUA DILI *"" KOMAA WATAKUPA....
M BINAFSI MAJUZI NIMEPAMBANA NAOO NIKO NIMELALA USIKU NATUMIWA MSG NKAKAUSHA NIKASIKIA YAPILI NKSKAUSHA YATATU..MMH BADOKIDOGO WAHARIBU NDOA YANGU KWAKUWA N MT PDIDY WIFI YENU AKAMKA AKASOMA ASB ATI SINASALIO NIONGEZE KWAKUBONYEZA XYZ AMA NIKOPE..BAADAE IKAJA MSG NYINGINE NIMEKOPESWA 1000 JAMAN SIMU INA ALF TANO..SIJUI WAMEONA IMEISHA WAPI SALIO
Hawawezi kufanya hiyo jamaa, kitendo cha kupeleka tu kesi wanajua huyu jamaa siyo!Hofu yangu kununua haki mkuu maana vita ya mwenye nacho na asiekuwa nacho
Haaaaa kumbe sio mm pekee, Wadau mi juz nmeunga MB 600 Nikachukua video moja yenye MB 180 na kusoma tuu email hata dakika haikuisha Eti kifurush kimeisha. Majiz ka nn dadek!!!.Hata Halloteli majizi,kila nikijiunga na kifurushi cha chuo MB 600 baada ya dakika 5 wanasema kimeisha wakati nimebrowse JF tu
Inawezekana but kwangu nimefanikiwa kutatua tatizo baada ya kudissable hii kitu inaitwa svchost.exeHakuna kitu, mbona ukichange line eg tigo ambao wana bundle ndogo kabisa zinakaaa mda mrefu sana jamaa! Hawa ni wezi kuliko
Kaka kawashitaki ndio dawa yaoHilo neno mkuu inatia hasira sana
Hao line yao nilishatupa mb zinaenda kama sekundeHata Halloteli majizi,kila nikijiunga na kifurushi cha chuo MB 600 baada ya dakika 5 wanasema kimeisha wakati nimebrowse JF tu
Wafungulie jarada mahakamani huku ukiwa na ushahidi.

Toa njia namna ya kuidissable.Inawezekana but kwangu nimefanikiwa kutatua tatizo baada ya kudissable hii kitu inaitwa svchost.exe
Toa njia namna ya kuidissable.
Heko mkuu...1. Kuna njia ya kwanza unafungua Control panel> the click Administrative Tools > then click Services> then rightclick Background Intelligent Transfer Service (Utaona option mbalimbali, click STOP), unakuwa umemaliza.
2. Njia ya pili, kwenye start menu ya pc yako (kama unatumia pc) itafute Resource Monitor (sina hakika kama kwenye windows nyingine ipo maana mi natumia windows 10), then nenda kwenye menu ya Network na urightclick svchost.exe (network service), then bonyeza End process kama nilivyokuwekea kwenye screenshot, unakuwa umemaliza.