Kampuni ya tigo ni wezi sana...

Salunbote Lyevedu

JF-Expert Member
Jan 5, 2015
669
478
Tigo pesa ni zaidi ya jipu. Nilifanya muamala tar 22 mwezi wa saba kwenda mpesa, hela kwangu ilitoka na kwa mlengwa haikwenda nilipopiga huduma kwa wateja walinijibu pesa ipo kuna tatizo la kiufundi wanashughulikia hivyo nisubiri masaa 72. Yakapita nikapiga tena wakasema tena nisubiri masaa 72 ikawa hivyo kila nikipiga naambiwa hivyo hadi mwezi ukaisha wakasema kwakuwa mwezi umeisha niende tigo shop nikaenda ikawa mwendo uleule hadi leo hawajarudisha... Last week nilifanya malipo kwenda azam tv hela nayo haijafika hadi sasa wananipa kiswahili kama mwanzo tu. Hadi sasa ni zaidi 87000 wanayo sijui ndo nimeshaliwa au kuna mwaka watarudisha kama kuna aliyewahi patwa na hii hali hebu tupeane uzoefu
 
ww acha kulalamikia tigopesa, huo mchezo unafanywa na voda kudiskarej watu kutumiana pesa toka mitandao mingine. mm nimeshafanya utafiti mfupi kwn mitandao mitatu kila unapotuma au kutumiwa pesa kwenda au kutoka mpesa kunakuwa na fingisu. wale makaburu wa voda ni wajanja sana. nikuulize swali, ulishawah kuona voda wanatoa tangazo kuwa watu watume pesa toka mitandao mingine kwenda au kutoka mpesa? ili transaction ikamilike lazma kuwe na connection nzur kati ya kampuni inayotuma na inayopokea. chunguza mkuu malalamiko mengi ni kwa watu wanaotuma// kutumiwa toka mpesa to other networks
Tigo pesa ni zaidi ya jipu. Nilifanya muamala tar 22 mwezi wa saba kwenda mpesa, hela kwangu ilitoka na kwa mlengwa haikwenda nilipopiga huduma kwa wateja walinijibu pesa ipo kuna tatizo la kiufundi wanashughulikia hivyo nisubiri masaa 72. Yakapita nikapiga tena wakasema tena nisubiri masaa 72 ikawa hivyo kila nikipiga naambiwa hivyo hadi mwezi ukaisha wakasema kwakuwa mwezi umeisha niende tigo shop nikaenda ikawa mwendo uleule hadi leo hawajarudisha... Last week nilifanya malipo kwenda azam tv hela nayo haijafika hadi sasa wananipa kiswahili kama mwanzo tu. Hadi sasa ni zaidi 87000 wanayo sijui ndo nimeshaliwa au kuna mwaka watarudisha kama kuna aliyewahi patwa na hii hali hebu tupeane uzoefu
 
Hata Halloteli majizi,kila nikijiunga na kifurushi cha chuo MB 600 baada ya dakika 5 wanasema kimeisha wakati nimebrowse JF tu
Si kweli,labda unabackground apps nyingi zinazofanya kazi na ku utilize data kipindi wewe wabrowse Jf tu.
 
Tigo pesa ni zaidi ya jipu. Nilifanya muamala tar 22 mwezi wa saba kwenda mpesa, hela kwangu ilitoka na kwa mlengwa haikwenda nilipopiga huduma kwa wateja walinijibu pesa ipo kuna tatizo la kiufundi wanashughulikia hivyo nisubiri masaa 72. Yakapita nikapiga tena wakasema tena nisubiri masaa 72 ikawa hivyo kila nikipiga naambiwa hivyo hadi mwezi ukaisha wakasema kwakuwa mwezi umeisha niende tigo shop nikaenda ikawa mwendo uleule hadi leo hawajarudisha... Last week nilifanya malipo kwenda azam tv hela nayo haijafika hadi sasa wananipa kiswahili kama mwanzo tu. Hadi sasa ni zaidi 87000 wanayo sijui ndo nimeshaliwa au kuna mwaka watarudisha kama kuna aliyewahi patwa na hii hali hebu tupeane uzoefu


Una ujomba nao!!? mahakama zipo unasubiri nini kuwafungulia kesi wakulipe fidia?
 
ww acha kulalamikia tigopesa, huo mchezo unafanywa na voda kudiskarej watu kutumiana pesa toka mitandao mingine. mm nimeshafanya utafiti mfupi kwn mitandao mitatu kila unapotuma au kutumiwa pesa kwenda au kutoka mpesa kunakuwa na fingisu. wale makaburu wa voda ni wajanja sana. nikuulize swali, ulishawah kuona voda wanatoa tangazo kuwa watu watume pesa toka mitandao mingine kwenda au kutoka mpesa? ili transaction ikamilike lazma kuwe na connection nzur kati ya kampuni inayotuma na inayopokea. chunguza mkuu malalamiko mengi ni kwa watu wanaotuma// kutumiwa toka mpesa to other networks
Mkuu najua voda ni wasumbufu sana ila na hii ya kwenda azam ndo nimechoka kabisa tigo nao jipu
 
Hela yako kama haikufika inakuwa kwenye Suspense A/c yao Tigo. Wanachotakiwa ni kui reverse kwako ili ui post upya au wao waipeleke ulikokusudia awali. Vinginevyo kama wanakupelekesha nenda Mahakamani kafungue kesi ya madai.
 
Back
Top Bottom