Kampuni ya tigo ni wezi sana...

Kampuni ya tigo ni wezi sana...

ww acha kulalamikia tigopesa, huo mchezo unafanywa na voda kudiskarej watu kutumiana pesa toka mitandao mingine. mm nimeshafanya utafiti mfupi kwn mitandao mitatu kila unapotuma au kutumiwa pesa kwenda au kutoka mpesa kunakuwa na fingisu. wale makaburu wa voda ni wajanja sana. nikuulize swali, ulishawah kuona voda wanatoa tangazo kuwa watu watume pesa toka mitandao mingine kwenda au kutoka mpesa? ili transaction ikamilike lazma kuwe na connection nzur kati ya kampuni inayotuma na inayopokea. chunguza mkuu malalamiko mengi ni kwa watu wanaotuma// kutumiwa toka mpesa to other networks
Mwenzako amekupa cases mbili hapo,na hiyo ya kulipia azam kwa kutumia tigo pesa haikufika nayo wamesababisha voda?
 
sasa kama inajukikana hali iko hivyo kwa nini watutangazie kutumiana pesa kwenda mtandao wowote wakati wanajua hawajawasiliana vyema na kampuni nyingine? mi nadhani hapa kuna tatizo na ni kubwa sana. Inakuwaje hata malipo ya king'amuzi nayo yawe na ukakasi? huyu ni mmoja tu aliyeamua kujitokeza hadharani kusema kero hii lakini tujue kwamba wapo watu wengi sana ambao wanakero kama hizi au zinazofanana na hizi.
Na huu ndo ukweli na ndicho kilichoniuma kushindwa kukamilika hata ya kwenda azamtv
 
Unaonaje Mkuu ukipata mwanasheria ushughulike hili swala lako afu ulipwe na hela ya usumbufu
 
Hela yako kama haikufika inakuwa kwenye Suspense A/c yao Tigo. Wanachotakiwa ni kui reverse kwako ili ui post upya au wao waipeleke ulikokusudia awali. Vinginevyo kama wanakupelekesha nenda Mahakamani kafungue kesi ya madai.
Na ndo wanachodai kuwa pesa bado ipo wanaiona ila kurudisha hairudi
 
huo mchezo wanao voda tigo wanajitahidi kwa kweli kwenye tigo pesa ila voda duuu ni wezi nje nje wameshanipiga sana
Na hiyo ndo sababu ilinifanya nihamie tigo... Ila ndo hivyo nao walewale kasoro majina tu
 
Kadai fidia mahakaman billion 1, utakua ushatoka maisha mwanangu .kama kina Mwana fa ila usisahau kunipa mil 10 ya mboga
 
Si kweli,labda unabackground apps nyingi zinazofanya kazi na ku utilize data kipindi wewe wabrowse Jf tu.
Niwaombe msamaha Hallotel kwa kuwatukana, kumbe kuna mabackground apps mengi yalikuwa yanarun bila kujua, siku ya 3 hii naweka kifurushi kinapitiwa na sikomi. Yaani nilikuwa nashangaa eti nabrowse JF na FB tu kwenye data interface inaonesha natumia kb zaidi ya 200 per second. Asante kwa muongozo umeniokoa!
 
Hela yako kama haikufika inakuwa kwenye Suspense A/c yao Tigo. Wanachotakiwa ni kui reverse kwako ili ui post upya au wao waipeleke ulikokusudia awali. Vinginevyo kama wanakupelekesha nenda Mahakamani kafungue kesi ya madai.
Kumbuka kuna aggregator katkat.na ndo huwa wanasumbua sana
 
TCRA ni jipu kuliko hiyo mitandao.
Nchi ni yetu, lakini kuna wakati nadhani inaongozwa na watu wasio na vichwa
 
Hela yako kama haikufika inakuwa kwenye Suspense A/c yao Tigo. Wanachotakiwa ni kui reverse kwako ili ui post upya au wao waipeleke ulikokusudia awali. Vinginevyo kama wanakupelekesha nenda Mahakamani kafungue kesi ya madai.
Na watamlipa za kutosha!!! Tatizo hizi fursa zinaenda pasipo na wajenzi
 
Back
Top Bottom