Kampuni ya Tanzania yafanya maajabu Marekani

Kampuni ya Tanzania yafanya maajabu Marekani

Habari Wadau.

Kampuni ya Kitanzania ya Rasello imefanya maajabu kwa kuingia katika kinyang'anyiro cha kuwania taji la Kampuni bora inayochipukia yaani StartUp.

Ewe Mtanzania mwenzangu onyesha uzalendo kwa kuipigia kura kupitia

hapa
http://webitcongress.com/en/webit/20...pvote.html/264. Kampuni ni ya Kitanzania na ofisi zake zipo pale Msasani.

Regards.
 
Dah!! Nimechemka kuipigia kura.. Nahitaji maelezo ya ziada hapa.. Maana hyo kampuni nimeiona but how to vote?
 
Mngekuwa na hadhi na kukubalika usingekuwa na haja ya kuomba kura!!!!!

Fanyeni kazi mfahamike unga unga mwana na mbeleko si ishu tena!!!
 
Habari Wadau.

Kampuni ya Kitanzania ya Rasello imefanya maajabu kwa kuingia katika kinyang'anyiro cha kuwania taji la Kampuni bora inayochipukia yaani StartUp.

Ewe Mtanzania mwenzangu onyesha uzalendo kwa kuipigia kura kupitia

hapa
http://webitcongress.com/en/webit/20...pvote.html/264. Kampuni ni ya Kitanzania na ofisi zake zipo pale Msasani.

Regards.
  • Mkuu kura yangu tayari
cello.png
cello2.png
 
Dah!! Nimechemka kuipigia kura.. Nahitaji maelezo ya ziada hapa.. Maana hyo kampuni nimeiona but how to vote?

Click vote then itakupeleka kwenye account yako ya facebook kwa ajili ya kuhakikisha haupigi kura mara mbili.
 
details hazijitoshelezi.
Kampuni hii inajishughulisha na nini?
Au free mason......tehe tehe tehe tehe ....
 
Habari Wadau.

Kampuni ya Kitanzania ya Rasello imefanya maajabu kwa kuingia katika kinyang'anyiro cha kuwania taji la Kampuni bora inayochipukia yaani StartUp.

Ewe Mtanzania mwenzangu onyesha uzalendo kwa kuipigia kura kupitia hapa Rasello.

Kampuni ni ya Kitanzania na ina ofisi pale Msasani. Website ni http://www.rasello.com/

Regards.

Wenye nayo ni akina nani?
 
Nime vote tayari,
Lakini siielewi hiyo kampuni inashughulika na nini!
Mmetanguliza kufahamika Marekani badala ya Tanzania?
..... Iwe fundisho kwa wenye tabia kama yenu....anyway nawaombea mshinde
 
Nime vote tayari,
Lakini siielewi hiyo kampuni inashughulika na nini!
Mmetanguliza kufahamika Marekani badala ya Tanzania?
..... Iwe fundisho kwa wenye tabia kama yenu....anyway nawaombea mshinde

hata mimi nimepiga kura ila cjaielewa hii kampuni!
 
Rasello is a
Relationship
Management
System (RMS)
that helps
businesses and
professionals
better manage,
understand and
communicate to
the people that
matter most to
them.
 
wakuu tusiwe wavivu kihivyo mtu kaweka link ww bofya hiyo link ili ujue kilichopo ndani yake mm nimebofya mpaka video nimeangalia.
 
wakuu tusiwe wavivu kihivyo mtu kaweka link ww bofya hiyo link ili ujue kilichopo ndani yake mm nimebofya mpaka video nimeangalia.
Mkuu siyo vibaya ukituambia kwa kifupi inahusu nini kwa wewe ulibahatika kupitia hizo taarifa!"SOMA KWA FAIDA YA WENGINE"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom