Kampuni ya Tanzania yafanya maajabu Marekani

Kampuni ya Tanzania yafanya maajabu Marekani

Click hiyo link ina maelezo ya shughuli za hiyo kampuni
 
ahsante kwa taarifa muhimu uliyotuletea. naomba utueleze japo kwa ufupi tu:
1. kampuni ilianzishwa lini na inajishughulisha na nini?
2. kampuni inamilikiwa na nani?
3. japo takwimu kidogo tu.
4. tuipe support ya 'UZALENDO' kwa vigezo gani?

namaanisha Watanzania tuache zile zetu za mambo ya juu juu, nusu nusu, tufanye mambo kwa kuzingatia VIWANGO. hata tunapotoa taarifa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom