Kampuni ya Kiwi Shoe Polish Mjitafakari

Kampuni ya Kiwi Shoe Polish Mjitafakari

😅😅😅😅


Una point, hata sisi wapaka mafuta huwa tuna toa review na feedback kwa watengenezaji kwenye website zao juu ya mambo mengine ikiwemo suala la packaging, kama ni lotion tuna prefer vichupa kama vi pump au vitube kuliko makopo ya wazi.
 
Tuko mwaka 2026 jamani, lakini Kiwi shoe polish bado manatuuzia makopo yanayofunguliwa kama vile ni mtihani wa mwisho! 😂

Simu zimekuwa smart, magari yanajiendesha yenyewe, AI inafanya vitu vya ajabu… lakini huo mkebe wenu kufungua ni kama unafanya mtihani wa practical
Kwanini Kiwi msijaribu mbinu mpya wateja wenu wakubwa ni wanafunzi au ni kwamba hii mikebe mlitengeneza hadi 2030.

Yaan hako Kakitu kakivunjika ndo kipengele kinaanza 🤣 ni either ugonge huo mkebe chini unaanza na kiwi iliyomwagika baada ya hapo utakua unatumia vipande vipande

Labda the manufacturer wanted to maintain originality, security, patience and 'carefulness in one product ila sasa hapana

Niko nabrushia watoto hapa waende kanisani
muwe na Dominika njema 🤣 Utani wa Jumapili
View attachment 3622821
Ukate kucha sasa
Au unauza unga
 
U
Hamwezi pata vitu vizuri huko uswahilini. Zipo Kiwi kwenye kikopo kama cha mafuta na katika hali ya umate mate. Halafu kuna zile za kwenye kichupa mbele kina sponge, halafu kuna za ku spray. But hizo tunanunua supermarkets hasa za Obay, M.City.Mikocheni.

Huwezi zikuta Mchambawima, Makunduchi, Bwegeni, Mnyamani, Tandale kwa Tumbo, Yombo Vituko, Temeke kwa mfuga mbwa, Keko n.k huwezi zikuta huko.
Ubaguzi huo kwa tunaoishi tandale kwa mkunduge.
 
Sahihi.. 😂
Waongezee kakitu kidogo kwenye kopo lao , hata mimi hili tatizo limenitokea mara nyingi .
 
Tuko mwaka 2026 jamani, lakini Kiwi shoe polish bado manatuuzia makopo yanayofunguliwa kama vile ni mtihani wa mwisho! 😂

Simu zimekuwa smart, magari yanajiendesha yenyewe, AI inafanya vitu vya ajabu… lakini huo mkebe wenu kufungua ni kama unafanya mtihani wa practical
Kwanini Kiwi msijaribu mbinu mpya wateja wenu wakubwa ni wanafunzi au ni kwamba hii mikebe mlitengeneza hadi 2030.

Yaan hako Kakitu kakivunjika ndo kipengele kinaanza 🤣 ni either ugonge huo mkebe chini unaanza na kiwi iliyomwagika baada ya hapo utakua unatumia vipande vipande

Labda the manufacturer wanted to maintain originality, security, patience and 'carefulness in one product ila sasa hapana

Niko nabrushia watoto hapa waende kanisani
muwe na Dominika njema 🤣 Utani wa Jumapili
View attachment 3622821
Mkuu huo ni mkono wako?
 
uko sahihi,

in fact hata ile ya KIWI ya maji, kile kisponchi kinachomoka haraka na mapema mno wakati rangi bado ni nyingi kwenye chupa,
na kulazimika kutumia labda kitambaa kung'arisha kiatu, kitu ambacho matokeo yake ni kujifua mikono na kila mahali matone ya rangi yanapodondokea ,

nadhani ni muhimu kubadilika na kuongeza ubora na uimara wa vifungashio hivyo :NoGodNo:
Kale kabrashi ka kwenye Kiwi ya maji ni changamoto sana. Lazima utatumia kitu mbadala tu ili kuimaliza yote
 
Tuko mwaka 2026 jamani, lakini Kiwi shoe polish bado manatuuzia makopo yanayofunguliwa kama vile ni mtihani wa mwisho! 😂

Simu zimekuwa smart, magari yanajiendesha yenyewe, AI inafanya vitu vya ajabu… lakini huo mkebe wenu kufungua ni kama unafanya mtihani wa practical
Kwanini Kiwi msijaribu mbinu mpya wateja wenu wakubwa ni wanafunzi au ni kwamba hii mikebe mlitengeneza hadi 2030.

Yaan hako Kakitu kakivunjika ndo kipengele kinaanza 🤣 ni either ugonge huo mkebe chini unaanza na kiwi iliyomwagika baada ya hapo utakua unatumia vipande vipande

Labda the manufacturer wanted to maintain originality, security, patience and 'carefulness in one product ila sasa hapana

Niko nabrushia watoto hapa waende kanisani
muwe na Dominika njema 🤣 Utani wa Jumapili
View attachment 3622821
Hii ndio dawa yangu pendwa ya viatu na si hizi za majimaji.
 
IMG_20260704_142304.jpg
IMG_20260704_142304.jpg
IMG_20260704_142314.jpg
 
Tuko mwaka 2026 jamani, lakini Kiwi shoe polish bado manatuuzia makopo yanayofunguliwa kama vile ni mtihani wa mwisho! 😂
Mkuu, kwani kuna kampuni ya dawa za viatu ambayo mikebe yake iko tofauti na KIWI? Au dawa za viatu ni KIWI kama ilivyo vituo vya mafuta ni Shell?

1783268362703.png

1783268699225.png
 
Back
Top Bottom