uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,990
- 8,367
Sauli laxury imetoweka? Mbona barabarani hazionekani? Mwenye taarifa atusaidie.
Hizi scania ni kama utambulisho wa Nyanda za Juu Kusini hasa Mbeya.
Nini kumetokea?
Njaa Kali 😁😁Sauli laxury imetoweka? Mbona barabarani hazionekani
Mwenye taarfa
Hizi scania ni km utambulisho wa nyanda za juu kusini hasa mbeya
Nini kumetokea?
Nimeziona pale VingungutiSauli alikuwa na gari saba, tatu kati ya hizo aliyemkopesha, yaani Scania pale Vingunguti wamezichukua. Nadhani ni kutokana na mambo ya kibiashar.
Sasa kabakiza gari nne, zinazotembea ni 3. Kwa hiyo hawezi kuwa na impact kama zamani. Haendi Tunduma..kabakiza Dar Mbeya.
Biashara ilikua nzuri sana akawa na Bus 7 ila 3 kati ya hizo zikachukuliwa na Scania ( zilikua ni za mkopo) na 4 zilizobaki 2 tu ndio zinatembea na 2 nyingine ni mbovu zimepaki mbeya takribani miezi 2+ sasaSauli laxury imetoweka? Mbona barabarani hazionekani
Mwenye taarfa
Hizi scania ni km utambulisho wa nyanda za juu kusini hasa mbeya
Nini kumetokea?
Hajauza yeye, bali Scania ndiyo wameuza baada ya ku default kwenye loan terms.Kuna moja kauza juzi kati, niliona kwenye mitandao ya mabasi ya southern highlands.
Hapo sawa. Ila hii biashara ina wenyewe aisee. Abood mwezi huu kanunua basi kati ya 10, halafu kama sio mwaka huu mwanzoni basi mwaka jana mwishoni kabisa alishusha basi kama 15+ pale ubungo.Hajauza yeye, bali Scania ndiyo wameuza baada ya ku default kwenye loan terms.
Mohamed Trans na Mombasa RahaBiashara ya mabasi ni biashara kichaa. Scandinavia, Hood, Rungwe, Sumry, Royal nk zilikua household names ila yote yashajifia natural death. Sauli nae mwendo kaumaliza arudi kuchimba Chunya.
Abood nimeana kumuona enzi za mzee ruksa katikati ys miaka ya 80,kwa ufupi ameshindikanaBiashara ya mabasi ni ya kupokezana. Usije kushangaa hata Abood huko mbele ya safABioari akaachana nayo