Kwa kufuatilia yaliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi la leo tarehe 13 Septemba ukurasa wa pili, kampuni hizo saba ni:
(1) Kampuni ya Mafuta ya Prevail (PPTL)-Tanzania.
(2) Independent Petroleum Group - Bahamas.
(3) Galana Petroleum Limited - Bahamas.
(4) Addax Energy Limited - Geneva.
(5) Vitol SA - Singapore.
(6) Augusta Energy SA - Singapore.
(7) Trafigura PTE Limited - Singapore.
Nawasilisha.