Kampuni Itakayoipa CCM Helcopter hii hapa

Jenerali Ambamba

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2014
Posts
3,344
Reaction score
2,537
CHINA POLY GROUP CORP. ni kampuni ya kichina inayomilikiwa na serikali ya CHINA, Kampuni hii pamoja na mambo mengine inajishughulisha na utengenezaji wa vifaa vya kijeshi, vile vile kampuni hii kama nilivyosema kuwa pamoja na utengenezaji wa vifaa vya kijeshi vile vile ndiyo iliyopewa tender ya ujenzi wa PHASE 4 hapa KINYEREZI-DAR ES SALAAM-TANZANIA.

Kampuni hii itatoa hizo chopa kwa SERIKALI ila zitafanya kazi za CCM hii ni baada ya deal kugundulika mapema ambapo DR. Slaa ( Mungu Amlinde Sana ) alitoboa siri mapema.
 


Ziara ya JK China imewachanganya sana CDM na kambi nzima ya ukawa. Hivi Sasa kila mtu na kila mwanachama wa CDM habari ya mujini ni hiyo. Hakuna rangi mtakayo acha kuiona kwa JK mwaka huu, atawatesa sana kwa kukubalika kwake Kila nchini na kimataifa na walio wengi.
 

why serikal yetu inahofia kufanya biashara???wenzetu wanaweza ati
 
Chadema ni Mpango wa Mungu. Asante sana Dr umeujuza umma wa watanzania hawajui walipo leo Chadema tulipita siku 3 zilizopita
 
DR SLAA AMEFUNUA MAMBO ya siri sana , mpaka leo hakuna hata kimbelembele yeyote aliyekanusha !
 

lini serekali yetu nayo itaweza kumiliki kampuni ata ya kutengeneza wembe ccm janga la tanzania
 

Hivi unajua unachokisema?
 
Ama kweli akili ni nyele na kila mtu anazo sasa hizo chopa ndo nini na inakuwa kama kipofu kuwona mwezi
 
Hoja yenye utata ni kwanini zawadi za serikali zichakachuliwe na kupewa ccm ?
 
Mlianzisha mchezo wa helikopta na CCM nao wanakuja nazo 5 muone shughuli yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…