hapana wako vizuriHawana usumbufu ktk kulipa?
iyo utawauliza unavyolipia watakupa na namba ya simu ili ukipata tatizo uwapigieMaximum time ya kuprocess payments ni muda gani?
umenena kabisa.siri ya bima kata kwa agent ukienda makao makuu inakua ngumu ukipata tatizo kukusikiliza ila agent akienda anapewa priority
kwa nini kampuni zinazingua hadi utumie wakalabima kuhusu malipo lazima usumbuliwe kidogo kama wanachohitaji huna
ila tumia mawakala