​kuna mpambano mkali katika kampeni za mitaa kwa mitaa huku vyama viwili vikichuana kwenye kunadi sera na wagombea, na mashindano makubwa yanaelekea kubadilika kutoka CCM na CUF na kuwa CCM na Chadema
mie naangalia tu hizo kampeni za vanuatu.... si ajabu watu hata results za uchaguzi watu wameshaprint tayarikila la heri ila tunahitaji kusikia kampeni za AMANI NA UPENDO na siyo kama Igunga za Mauaji na kumwagiana acid
CUF ni chama cha kuzimu. May its soul rest in everlasting fire!
kwa hiyo cuf wametoweka ghafla?
kuna mpambano mkali katika kampeni za mitaa kwa mitaa huku vyama viwili vikichuana kwenye kunadi sera na wagombea, na mashindano makubwa yanaelekea kubadilika kutoka CCM na CUF na kuwa CCM na Chadema
CUF ni chama cha kuzimu. May its soul rest in everlasting fire!
​kuna mpambano mkali katika kampeni za mitaa kwa mitaa huku vyama viwili vikichuana kwenye kunadi sera na wagombea, na mashindano makubwa yanaelekea kubadilika kutoka CCM na CUF na kuwa CCM na Chadema
zamu yetu magwanda
kila la kheri CDM