Dio
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 1,274
- 158
Siyo ghafula tu mkuu,ni automatikale kabisa na ninatabiri hivivi kwa ccm
duh si mchezo.
Siyo ghafula tu mkuu,ni automatikale kabisa na ninatabiri hivivi kwa ccm
​kuna mpambano mkali katika kampeni za mitaa kwa mitaa huku vyama viwili vikichuana kwenye kunadi sera na wagombea, na mashindano makubwa yanaelekea kubadilika kutoka CCM na CUF na kuwa CCM na Chadema
​kuna mpambano mkali katika kampeni za mitaa kwa mitaa huku vyama viwili vikichuana kwenye kunadi sera na wagombea, na mashindano makubwa yanaelekea kubadilika kutoka CCM na CUF na kuwa CCM na Chadema
acha kuongea kama mwanasiasa, ongeza nyama kwenye taarifa yako hakuna kiti hapo .....propaganda.
Igunga mlishindwa ndio itakuwa znz!!!!!!!!!!!!!
Hebu weka sawa kumbukumbu hapa.........wewe CUF au CCM?CHADEMA naona munajikweza sana lakini mwisho wa siku kuna Kura zenu only 30 zinawasubiria!
Sijaelewa umeandika kitu gani hapo kwenye red,si kazi rahisi kuamini kwamba chadema kiko juu ya CUF kule znz maneno matupu hayavunji mfupa. JF sio gazeti la udaku hapa kuna vichwa shuka nondo na sisi tutakuuliza maswali.
Sijaelewa umeandika kitu gani hapo kwenye red,
Kwamba, HAUAMINI,
Kwamba, NI KAZI SANA KUAMINI
Kwamba, UMETISHIKA?
Kwamba, kama ni kweli UTAVUNJIKA MIFUPA?
Wewe umeolewa au umeoa? yani namaanisha wewe CUF au CCM?
jamani daaa kwa hiyo hatuwezi kutofautisha kati ya ccm na cuf nimecheka mpapa basi duuuu!Hebu weka sawa kumbukumbu hapa.........wewe CUF au CCM?
Haueleweki wewe; Hatuelewi umeoa au umeolewa?
kuna mpambano mkali katika kampeni za mitaa kwa mitaa huku vyama viwili vikichuana kwenye kunadi sera na wagombea, na mashindano makubwa yanaelekea kubadilika kutoka CCM na CUF na kuwa CCM na Chadema
CHADEMA naona munajikweza sana lakini mwisho wa siku kuna Kura zenu only 30 zinawasubiria!
CHADEMA naona munajikweza sana lakini mwisho wa siku kuna Kura zenu only 30 zinawasubiria!
zamu yetu magwanda
jamani daaa kwa hiyo hatuwezi kutofautisha kati ya ccm na cuf nimecheka mpapa basi duuuu!