Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Jana nilipita maeneo ya Fire, kwa bahati mbaya nikakutana na kampeni za CCM zilizokuwa zikiendela maeneo ya Fire, kwa kuwa sikuwa na vitendea kazi nikabahatika kupiga tupicha hutu tuwili kama zawadi ili mjionee jinsi hali ilivyo maji ya shingo kwa CCM. Hapo ilikuwa ni saa kumi na moja na nusu hali ilikuwa hivyo!!!!
CCM isipokuwa makini itashindwa vibaya katika uchaguzi huo wa udiwani Daraja Mbili.