Watoto hawapigi kura; kwa nini basi CCM wanaendesha kampeini kwa watoto hawa na kukoseha masomo yao, je CCM imekuwa watu wa kuwasilikiliza wameamua kusikiliwa na watoto kwa nguvu?
Hilo E 1 nyuma ya mkweche wa ccm ni kodi zetu...
e bana ee, hii mijamaa inaishi maisha ya kifahari kweli. Hebu angalia msafara huo wa magari. Sidhani kama kuna Gavana yeyote yule wa states zote 50 za marekani ana msafara kama huo (and yes uchumi wa Tanzania unaweza kulinganishwa na mojawapo ya states za US).
Mkuu unaweza kuja na version ya Kampeni za Kikwete na Wanawake - picha! Nitachangia kwa hilo
wako mtiifu
Azadirachta indica
Hivi Vigogo, ki-Perfume kinachotoka hapo, hata mbu wanakimbia ...... hihihiiiii Wagogo mweee!!!
Kweli kabisa mkuu, hawa wanaonekana hata chakula hawajapata: