Elections 2010 Kampeni za Kikwete na watoto wa shule - picha

Mwafrika

JF-Expert Member
Nov 20, 2006
5,490
226
Watetezi wa haki za watoto wa shule tunzeni hii picha. Katika kesi kibao zitakazofunguliwa dhidi ya mafisadi wa ccm, hii ya kulazimisha watoto wa shule kwenda kwenye mikutano ya kampeni ya ccm itakuwa kwenye top ten:

JK+KAMPENI+002.jpg
 
ebanae nimeshindwa kupunguza size ya picha ..... I miss Rev Masanilo, angenipa msaada wa kiufundi hapa.
 
Picha zitakazofuatia hapa chini ni kwa hisani ya Francis Godwin
 
Jamani! Hawa wangeendelea na masomo. CCM hawana huruma, wanakatisha vipindi kupeleka wanafunzi kwenye kampeni ya JK, ingekuwa Dr Slaa angeonekana amekiuka sheria.

ccm hawajali sheria .... wao wanajiona wako juu ya sheria zote za nchi.
 
mimi nimeanza kuichukia ccm miaka ya 1982 na kuendelea na kwa utoto wangu wakati ule tulikuwa tunahudhuria sana hivi vitu, kwa maandamano tena enzi za mchonga. emagine mnatoka shuleni saa tatu uwanjani mnafika saa nne au tano, mnashinda uwanjani mpaka saa tisa ndo mgeni rasmi aje. hapo mmeshinda njaa,kiu ya maji. hiyo kitu sikuipenda kabisa na nakumbuka nilipewa magwanda ya chipukizi enzi zile ipo moto nikayakataa. kwa kweli ccm mnatesa wanafunzi siwapendi kabisaaaaaaaa
 
Watetezi wa haki za watoto wa shule tunzeni hii picha. Katika kesi kibao zitakazofunguliwa dhidi ya mafisadi wa ccm, hii ya kulazimisha watoto wa shule kwenda kwenye mikutano ya kampeni ya ccm itakuwa kwenye top ten:

JK+KAMPENI+002.jpg

Hilo E 1 nyuma ya mkweche wa ccm ni kodi zetu...
 
mimi nimeanza kuichukia ccm miaka ya 1982 na kuendelea na kwa utoto wangu wakati ule tulikuwa tunahudhuria sana hivi vitu, kwa maandamano tena enzi za mchonga. emagine mnatoka shuleni saa tatu uwanjani mnafika saa nne au tano, mnashinda uwanjani mpaka saa tisa ndo mgeni rasmi aje. hapo mmeshinda njaa,kiu ya maji. hiyo kitu sikuipenda kabisa na nakumbuka nilipewa magwanda ya chipukizi enzi zile ipo moto nikayakataa. kwa kweli ccm mnatesa wanafunzi siwapendi kabisaaaaaaaa

Kweli kabisa mkuu, hawa wanaonekana hata chakula hawajapata:

IMG_0929.JPG
 
Hapa ni Ilula, wanafunzi ni wa shule ya Changa kabisa, iliyotoa F.IV ya kwanza mwaka huu. Shule changa kama hizi, wanapotezewa muda wao wa masomo eti tu wakaongeze idadi wa watu kumdanganya JK! Walionelewa sana. Maskini pia wale watoto wa shule za msingi, hawajui lolote katika upigaji wa kura, wanakatishwa masomo yao hivi hivi!!!
 
Riziwani naye, kama baba kama mtoto. Hii familia ya kisultani itafilisi nchi yetu:

 
Back
Top Bottom