Mr.Waukweli
Member
- Feb 18, 2012
- 60
- 40
Du kwa kweli wao pesa sisi mungu, peoples power!
Tangu lini picha ni ushindi; jiulizeni yafuatayo
a. under 18 walikuwa wangapi?
b. Wenye kadi za kupiga wangapi?
c. Wataenda kupiga kura? commitment
d. kwenye hiyo wangapi ni ccm wamekuja kusikiliza tu? wangapi wamekubaliana na sera zenu?
acheni matumaini mfu..matokeo ni 28% cdm na 72% ccm; anyway mmejitahidi kutangaza chama
Na hao watoto wangekuwa wanapiga kura Chadema wangekuwa washashinda
Du kwa kweli wao pesa sisi mungu, peoples power!
Mbona under 18 wengii sana..
Msije kulia tarehe 1/4..matokeo ni 28% vs 72%ccm
Yupi mmojawapo? baba, mwana, roho?
piipozzzz pwaaaaaaa!
Kwi kwi kwi, teh teh teh!
Wamekuja kupoteza wakati jumamosi, hawana pakwenda.
Wengi wenu mmesahau, Igunga, Uzini, Iringa!
tangu lini picha ni ushindi; jiulizeni yafuatayo
a. Under 18 walikuwa wangapi?
B. Wenye kadi za kupiga wangapi?
C. Wataenda kupiga kura? Commitment
d. Kwenye hiyo wangapi ni ccm wamekuja kusikiliza tu? Wangapi wamekubaliana na sera zenu?
Acheni matumaini mfu..matokeo ni 28% cdm na 72% ccm; anyway mmejitahidi kutangaza chama
Siyo kwamba natania, nasema kura tutazilinda kwa gharama yoyote.
Tutazilinda kama tulivyozilinda za Arusha mjini.
Hiyo under 18 ndo nimeipenda maana ukikichukia maga.mba bado mdogo ukiwa over 18 unachukua jembe mwenywe kwenda kukizikaTangu lini picha ni ushindi; jiulizeni yafuatayo
a. under 18 walikuwa wangapi?
b. Wenye kadi za kupiga wangapi?
c. Wataenda kupiga kura? commitment
d. kwenye hiyo wangapi ni ccm wamekuja kusikiliza tu? wangapi wamekubaliana na sera zenu?
acheni matumaini mfu..matokeo ni 28% cdm na 72% ccm; anyway mmejitahidi kutangaza chama