NG'OTIMBEBEDZU
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 1,180
- 592
Siasa ni mchezo wa ajabu. Huyu jamaa amejifanya kukaa na huyu mama; wakati wenye akili tunajua anamhadaaa!! shida yake ni kura tuuuu!!!
Go Slaa, Go. Wembe ule ule.
Mkuu si uliona jinsi Kawambwa alivyopiga magoti kwenye picha ya jk! Hawa jamaa noma sana, wanaamkia hadi watoto wa chekechea! Sasa ndo sawa na hapo. Hata ukimwambia alambe miguu hataona shida,subirini achukue nchi ni vilio na kusaga meno.
Hamtaamini kama ndo yule aliyekaaa kwenye mavumbi. Usisahau ndo huyuhuyu alipanda miti akiwa juu ya zulia a.k.a akiogopa kuchafuka.