Nkerejiwa
Senior Member
- Feb 25, 2014
- 146
- 214
Serikali kupitia wizara ya Fedha inaomba maoni yako kuhusu vile unatamani sheria za kodi kwa mwaka ujao wa fedha ziwe.
Kipi kiongezwe, kipi kiondolewe kodi, kipi kipewe unafuu wa kikodi etc. Toa maoni yako sasa. https://maoni.mof.go.tz/
Kipi kiongezwe, kipi kiondolewe kodi, kipi kipewe unafuu wa kikodi etc. Toa maoni yako sasa. https://maoni.mof.go.tz/