NG'OTIMBEBEDZU
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 1,180
- 592
Ona sasa wanaambukiza hata viumbe walio bado tumboni,yaani kukurukakara zote hizi mtoto nae si atazaliwa na inherited FIS--HADISM!!!Huyo mama ana Mimba? so mtu mwenye Mimba ndo amehalalishiwa kuwapa watu rushwa? mbona mzee sikelewi na kukusoma? Rushwa inabaki kuwa dhambi no matter who is involved, and what thpe of gender was involved.