wanasema tuuoigie kura mlima wetu ili uwe kwenye maajabu saba mapya ya dunia. kwa staili hii hata ukipita sitaona uzito wake kwa kuwa umepigiwa kura. chema siku zote hujiuza. kwani maajabu ya awali yalitumia mtindo huu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.